Nimesoma post nyingi humu naona kama vile mnajuana
wadada kama cacico, Madame B, Ciello, charminglady, Kipipi, snowhite, @FP, sweetlady lara 1, na wanaume kama vile kina Arushaone, Erickb52, manoah, Baba V, Asprin, platozoom, Bujibuji, na wengnei naona kama vile ni group ya watu wanaokutana mara kwa mara kutokana na mzungumzo yao humu, jinsi wanavyochomekeaga out of topic kuashiria kuna jambo wao tu ndio wanalifahamu
Mara nyingi huwa natoka kapa kwa sababu naingiaga huku kwa ku bip
vukani Jibu hili swali!wewe ni mwanaume,mmeenda kutembea na Rafiki yako mpendwa,mlipofika maeneo ya nje ya mji,mkakuta kuna beach,akaamua aende kujisaidia haja kubwa,katikati ya shughuli yake akang'atwa na nyoka matakoni karibu na glumeti ya kutolea mizinga,sasa kuna option mbili 1.umnyonye sumu huyo rafiki yako ambaye ni mwanaume,sehemu zake za haja kubwa ambapo ameng'atwa na nyoka ama
2.umuache afe.
Utachagua lipi hapo baada ya hapo ndipo nitakapokuruhusu kuonana na Chilli na tedo maana huwezi onana hata na wajumbe wa kamati sa hv mpaka ufanye hii mitihani vema.
Nimesoma post nyingi humu naona kama vile mnajuana
wadada kama cacico, Madame B, Ciello, charminglady, Kipipi, snowhite, @FP, sweetlady lara 1, na wanaume kama vile kina Arushaone, Erickb52, manoah, Baba V, Asprin, platozoom, Bujibuji, na wengnei naona kama vile ni group ya watu wanaokutana mara kwa mara kutokana na mzungumzo yao humu, jinsi wanavyochomekeaga out of topic kuashiria kuna jambo wao tu ndio wanalifahamu
Mara nyingi huwa natoka kapa kwa sababu naingiaga huku kwa ku bip
Nimesoma post nyingi humu naona kama vile mnajuana
wadada kama cacico, Madame B, Ciello, charminglady, Kipipi, snowhite, @FP, sweetlady lara 1, na wanaume kama vile kina Arushaone, Erickb52, manoah, Baba V, Asprin, platozoom, Bujibuji, na wengnei naona kama vile ni group ya watu wanaokutana mara kwa mara kutokana na mzungumzo yao humu, jinsi wanavyochomekeaga out of topic kuashiria kuna jambo wao tu ndio wanalifahamu
Mara nyingi huwa natoka kapa kwa sababu naingiaga huku kwa ku bip
mbona mie hujanitaja...hujui mie ndio nashikilia ufunguo wa huu mjengo, sasa leo lazima ulale nje
Signature yako inajieleza vizuri sana.
What we need is love.
However it is not only love, but also love that creates a lovely friendship!
That's it my dear!
Mfano mimi kati ya hao members ulowataja simjui hata mmoja na sijawahi kushare nao tukio lolote lile on my consciousness . . . . . basi tu ni kuchangamkiana!
You are warmly welcome, jisikie huru kabisa!
pole mwaya utaelewa taratibu ila wengi humu ni waume na wake za watu so take care....usivamie ngome ya watu...