Atukuzwee
Senior Member
- Aug 6, 2017
- 113
- 211
Habari wandugu
Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.
Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.
Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.
Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.
Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.
Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.
Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.
Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.
Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.
Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.
Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.
Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.
Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.
Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.