Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
for shoo dude...and very sweet on bed......
Yo Yo tell'em
for shoo dude...and very sweet on bed......
hawa wastaarabu sana......
Halafu vikichoka havisimami hadi wakati anadeki tu.
woraa woraa upYo Yo tell'em
ngoja hivyo anavyo jivunia kutuonesha vichoke kama ataviweka hadharani tena!
Ukweli husemwa:
Watanzania bana, kwani hujui kama kuna makabila ambayo kuwa na matiti nje ni fasheni. Kwanza kuvaa nguo mwili mzima ni utamaduni ambalo tumeletewa na weupe wa magharibi na mashariki ya mbali
angalia kabila la Wataturu:-
Yaani wewe umegonga penyewe! wakati mwingine wabongo tunajifanyaga watakatifu , oooh mara manguo marefu ndo utamaduni wetu, ooh msitembee uchi( hypocricy) wakati tamaduni zetu origin tulikuwa hatuvai nguo! haya mambo ya nguo yote yamekuja....aarrghhh
ha ha ha ha ha ha!!kina nani...?Ndio maana akina sensa huwa wanatembeza bakora kwa mambo kama haya.
hao wataturu wana mila zao kwani huyo binti kwani ni mtaturu?
Mastaa wakivaa hakuna anayeshangaa...!
Mbona sikuelewi, Tatizo lako ni nini. Kama ni mwili wake kuwa wazi au ni mwili wake kuwa wazi wakati siyo kabila lake[/QU
Wewe si umefanya reference kwa kabila la wataturu, hatuishi porini btw..........we are civilized society, so go figure
Mbona sikuelewi, Tatizo lako ni nini. Kama ni mwili wake kuwa wazi au ni mwili wake kuwa wazi wakati siyo kabila lake[/QU
Wewe si umefanya reference kwa kabila la wataturu, hatuishi porini btw..........we are civilized society, so go figure
hahahah, Wabongo bana. Your civilized!!!. Kweli?. Ndugu yangu, acha kukopa misemo ya wazungu. unajua hao unaowakopa msemo wako civilised mpaka wanalala na mbwa kitanda kimoja na akifa majivu yake wanaweka kwenye kopo na linakuwa karibu na mto wake kila usiku. halafu kama wakitangulia wao kufa, wanaacha urithi wa pesa kwa huyo mbwa.
Hapa ndipo Wazungu wametushika kweli, kwa mawazo haya siyo ajabu tunakutana na wasichana mitaani wanavaa thermal underwear na mabuti eti ni fasheni ambayo wameiona kutoka kwa watu 'civilised' wakati Tanzania joto ni 32'c.
Bora mimi na Utaturu wangu.
Sasa wewe ulitakaje?halafu siku hizi masharobaro hawashughulikii vizuri hivi vibinti,wakipiga ki 1 tu wanageuka upande wa pili fofofofoooooooooooooooo!wapeni dozi nzuri hawa watoto watavaa vizuri tu!
Nini hiki?
Sasa wewe ulitakaje?halafu siku hizi masharobaro hawashughulikii vizuri hivi vibinti,wakipiga ki 1 tu wanageuka upande wa pili fofofofoooooooooooooooo!wapeni dozi nzuri hawa watoto watavaa vizuri tu!
mbona picha iko nusu kwenye miguu vipi ?