Eti nae katoka nyumbani amevaa

duniani wapitishe sheria watembee kama walivyo zaliwa. Kweli dunia inakimbia mwishoni naona imeanza toka kwenye axis yake
 
Ukweli husemwa:

Watanzania bana, kwani hujui kama kuna makabila ambayo kuwa na matiti nje ni fasheni. Kwanza kuvaa nguo mwili mzima ni utamaduni ambalo tumeletewa na weupe wa magharibi na mashariki ya mbali

angalia kabila la Wataturu:-

SAM_1085.JPG


SAM_1083.JPG
 
kuna haja ya kuwa na uamsho wa mavazi maana watu siku hizi hawajiheshimu kabisa katika suala la mavazi
 
Ukweli husemwa:

Watanzania bana, kwani hujui kama kuna makabila ambayo kuwa na matiti nje ni fasheni. Kwanza kuvaa nguo mwili mzima ni utamaduni ambalo tumeletewa na weupe wa magharibi na mashariki ya mbali

angalia kabila la Wataturu:-

SAM_1085.JPG


SAM_1083.JPG
Yaani wewe umegonga penyewe! wakati mwingine wabongo tunajifanyaga watakatifu , oooh mara manguo marefu ndo utamaduni wetu, ooh msitembee uchi( hypocricy) wakati tamaduni zetu origin tulikuwa hatuvai nguo! haya mambo ya nguo yote yamekuja....aarrghhh
 
Back
Top Bottom