Amependeza dah...! Achas wivu Elizabeth Dominic...!
Jibu-Hiki ni kizazi cha dot kom
Swali-Nini hiki?
ahh inapobidi mtu fanya yako, mrembo kafanya yake so watsup on u!!katokelezea
Nini hiki?
Kapendeza c utani
Yaani wewe umegonga penyewe! wakati mwingine wabongo tunajifanyaga watakatifu , oooh mara manguo marefu ndo utamaduni wetu, ooh msitembee uchi( hypocricy) wakati tamaduni zetu origin tulikuwa hatuvai nguo! haya mambo ya nguo yote yamekuja....aarrghhhUkweli husemwa:
Watanzania bana, kwani hujui kama kuna makabila ambayo kuwa na matiti nje ni fasheni. Kwanza kuvaa nguo mwili mzima ni utamaduni ambalo tumeletewa na weupe wa magharibi na mashariki ya mbali
angalia kabila la Wataturu:-
hata hawa ni limbukeni.....Huu ni ulimbukeni hakuna kingine
hata hawa ni limbukeni.....
tena hawa ndio kabisaaa limbukeni kabisaaa
ila tuacheni utani, huyo dada ana ziwa zuri, daah.