Eti Bongo kuna magari ya kike na ya kiume

Eti Bongo kuna magari ya kike na ya kiume

Sema Alphard nalo limeanza kuwa la kike siku hizi
 
Bongo haiishiwii comedy, infact Bongo ni Bongo Movie.

Vijana wameisha brand magari kama Dualis, Murano, IST, RAV4, etc kama magari ya wanawake.

Pickup, harrier, vangaurd, x-trail, etc ndio za kiume.

Unakuta mtu anasema "sasa mwanaume ataendashaje IST au Dualis"

Alafu kuna mtu unakuta na yeye anababaika eti anunui gari ambayo ameipenda eti kisa watamsema kuwa anatembelea gari ya kike.

Kupambana na fikra za jamii duni ni ngumu sana, wataanza kuja na sababu mia nne kwa nini mwanaume asitembelee dualis wakati japan wanaume wanazitembelea kama wote.
Mwanaume unavimbaje kwenye IST, PASSO, VITZ, RAV4(SHORT CHASSES)
 
Kumbe harrier ni ya kiume 🤔, me nilijua ni gari za wake za watu
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Kwenye magari ya kiume mbona hujaweka (land cruiser V8, Range rover sports, lexus lc300,) [emoji848] au haya ni ya nani
Hayo ni ya viongozi na matajiri, na kwa jinsia zote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bongo haiishiwii comedy, infact Bongo ni Bongo Movie.

Vijana wameisha brand magari kama Dualis, Murano, IST, RAV4, etc kama magari ya wanawake.

Pickup, harrier, vangaurd, x-trail, etc ndio za kiume.

Unakuta mtu anasema "sasa mwanaume ataendashaje IST au Dualis"

Alafu kuna mtu unakuta na yeye anababaika eti anunui gari ambayo ameipenda eti kisa watamsema kuwa anatembelea gari ya kike.

Kupambana na fikra za jamii duni ni ngumu sana, wataanza kuja na sababu mia nne kwa nini mwanaume asitembelee dualis wakati japan wanaume wanazitembelea kama wote.
Na Range pia gari ya kike full stop
 
Hizo zote ni mbinu za kuongeza hamasa ili wanaume mpambane muwe vitu vinavyoeleweka. Mwanaume mzima unaridhika na ka ist hata anayepanda punda anaonekana mwanaume
 
Back
Top Bottom