Wenye jinsia mbili au wasio na jinsia kabisa.Kwenye magari ya kiume mbona hujaweka (land cruiser V8, Range rover sports, lexus lc300,) [emoji848] au haya ni ya nani
Wenye jinsia mbili au wasio na jinsia kabisa.Kwenye magari ya kiume mbona hujaweka (land cruiser V8, Range rover sports, lexus lc300,) [emoji848] au haya ni ya nani
Na tractorRange rover sport ishakua ya kidem pia.
Gari za kiume ni Hilux, Fortuner, Landcruiser, bmw x5, VW toureg
Nini Passo wapi Funcargo..Passo pia huwa wanaiita ya kike,Ila kiukweli passo hapana siwezi nunua design yake sijawahi ipenda ...
Inakutoska kw youree "wide assyey"nilitaka nikununulie
endelea kutumia dildoInakutoska kw youree "wide assyey"
Bongo haiishiwii comedy, infact Bongo ni Bongo Movie.
Vijana wameisha brand magari kama Dualis, Murano, IST, RAV4, etc kama magari ya wanawake.
Pickup, harrier, vangaurd, x-trail, etc ndio za kiume.
Unakuta mtu anasema "sasa mwanaume ataendashaje IST au Dualis"
Alafu kuna mtu unakuta na yeye anababaika eti anunui gari ambayo ameipenda eti kisa watamsema kuwa anatembelea gari ya kike.
Kupambana na fikra za jamii duni ni ngumu sana, wataanza kuja na sababu mia nne kwa nini mwanaume asitembelee dualis wakati japan wanaume wanazitembelea kama wote.
Kike Moja hiyo tena zaidi ya hata RAV4 na Vanguard hata Harrier ya kike Tu.. Bora X-Trail imekaa kiumeLang Hilo hapo chini Sasa nambie la kike au kiumeView attachment 2650828
Badala muwekeze kwenye kuzalisha Magari yenu muwekeza kwenye ujinga, hayo ya Kike au Kiume yanatengenezewa Tanzania? Africa tulipaswa kutawaliwa miaka Billion,Vanguard ni la kike pia
🤣🤣🤣Mwanaume unavimbaje kwenye IST, PASSO, VITZ, RAV4(SHORT CHASSES)
Hahaha, ukiendesha ist unajisikia kupata hedhi?Mimi hilo sijui, ila ninajua ili nijisikie mwanaume lazima niendeshe landcruiser Manual 1HZ or 1HDT.
Fortuner, Prado etcKwenye magari ya kiume mbona hujaweka (land cruiser V8, Range rover sports, lexus lc300,) 🤔 au haya ni ya nani
Kubabeq 😁Hahaha, ukiendesha ist unajisikia kupata hedhi?
Mengi ya hayo uliyoyataja yanatokana na pesa za ummaKwenye magari ya kiume mbona hujaweka (land cruiser V8, Range rover sports, lexus lc300,) [emoji848] au haya ni ya nani
Jamaa kasema ili ajisikie mwanaume kuna aina ya gari lazima aendeshe ndo ikabidi nimuulize hilo swali.Kubabeq 😁