Eti Bongo kuna magari ya kike na ya kiume

Eti Bongo kuna magari ya kike na ya kiume

😀 sounds good kuona mwanaume anapush land lover discovery vogue Audi na land cruiser version yoyote tena manual.
Hivi vi auto auto vingi vya wadada😀😀
 
Ni kweli hata mimi ziwez nunua passo ila sio kwa sababu eti inapaswa kuendeshwa na wanawake.

Ni kwasababu sipendi muundo wake.
Ni kweli hata mimi ziwez nunua passo ila sio kwa sababu eti inapaswa kuendeshwa na wanawake.

Ni kwasababu sipendi muundo wake.
Mi IST nikipata hela nitaanza nayo! Siwezi tunisha msuli wakati mambo magumu
 
Subaru ni gari ya kiume, ila ukikuta mwanamke anaendesha inaonekana sexy.....

Mwanaume ukiendesha passo unakaa kirembo jamani
Passo sio gari, ni shopping trolley za kwenye supermarket za Mars!! Ahahahahhahahah[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Sikuhiz hao wanawake, wengi wao wanaendesha magari mazuri kuliko wanaume.
Screenshot_20230113-094320_Instagram.jpg
 
Wabongo wana imani za ajabu sana, nakumbuka miaka ile bongo fleva inaanza kuchomoza kuna wajinga wakiona unasikiliza wabana pua wanakuambia ni mziki wa kike, wanasema mwanaume anasikiliza hip-hop
Yaani wabongo ni watu wa ajabu sana, na ukiwaendekeza hakuna kitu utafanikiwa. Ndo maana wengi wanafeki maisha ili tu kuridhisha watu na imani zao za kijinga
 
Yaani wabongo ni watu wa ajabu sana, na ukiwaendekeza hakuna kitu utafanikiwa. Ndo maana wengi wanafeki maisha ili tu kuridhisha watu na imani zao za kijinga
Kabisa ndugu

Unakuta mtu anakazana ila aendane na matarajio ya washkaji zake.

Most of the time unakuta mtu mweusi ana spend sana pesa kununua vitu ila aimpress wenzake na jamii

Wakati hawa ngozi nyeupe ni watu simple sana.
 
Passo pia huwa wanaiita ya kike,Ila kiukweli passo hapana siwezi nunua design yake sijawahi ipenda ...
 
Bongo haiishiwii comedy, infact Bongo ni Bongo Movie.

Vijana wameisha brand magari kama Dualis, Murano, IST, RAV4, etc kama magari ya wanawake.

Pickup, harrier, vangaurd, x-trail, etc ndio za kiume.

Unakuta mtu anasema "sasa mwanaume ataendashaje IST au Dualis"

Alafu kuna mtu unakuta na yeye anababaika eti anunui gari ambayo ameipenda eti kisa watamsema kuwa anatembelea gari ya kike.

Kupambana na fikra za jamii duni ni ngumu sana, wataanza kuja na sababu mia nne kwa nini mwanaume asitembelee dualis wakati japan wanaume wanazitembelea kama wote.
Hapa kwetu Tena zote used(Mitumba)
 
Back
Top Bottom