Eti anataka kuona, hii imekaaje wadau.

Eti anataka kuona, hii imekaaje wadau.

Mh..Mi nadhani ni swaga tu la kutaka mambo yetu. Maaana Logic ya kuona tu mi siioni. Aone so what???
 
Akishaoneshwa na yeye anaoneshe tu.....lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mimi huwa nawashangaa sana hawa wanaosubiri mpaka ndoa.
Ukikuta ni she- male unafanyaje?
Ukikuta jamaa hafanyi kazi unaanza kuhangaika tena kuvunja ndoa au?
Acheni u punga huo, (mviiiiiiiiii), nimewasonya kwanza!!!!!!!!!!
 
Hongera sana, tena sana kwa huyo dada kutaka kujua 'uhai' wa mume wake mtarajiwa!!.
Kuna watu waliishi uchumba kadiri ya mafundisho, wakaja kufunga ndoa. Baada tu ya kukubali "nitaishi naye kwa shida na raha", huku bado watu wakiwa wanasherekea, dada akaanza kuonja shida.
Kwa bahati mbaya, 'jogoo' wa mume alikuwa 'hawiki mtungini'. Ndani ya kipindi cha miezi isiyopungua sita, dada ameshakwenda kwa wazee, Padri...kuta talaka.
Kama mnavyojua ndoa kanisa Katoliki, hakuna talaka, sasa kesi ipo mahakamani, mahakama inatakiwa imshinikize jamaa aende hosptali ili kuthibitishwa kwamba 'shughuli haiwezi', ndipo dada apate ruksa ya kuendelea na mambo yake.
Dada amekwisha ondoka tangu miezi ya awali, sasa anahudhuria mahakamani.
Japo, binafsi sioni sababu ya kuhangaika ili kupata ruhusa ya mahakama, kwa kuwa vipimo vya maabara havithibitishi uhai wa uume.
Dada zangu mlio kwenye uchumba wa heshima, chukueni ushauri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom