Eti anataka kuona, hii imekaaje wadau.

Eti anataka kuona, hii imekaaje wadau.

Why baadhi ya watu husema kuvaa nusu uchi ni sehemu ya dhambi how about this! is it comes? labda anaeonyesha naye awe THE HIGHEST CLAYZ MORE THAN CLAIES

Aisee.....
 
Ana mawili huyo labda anahofia huyo.mwenza asije akawa na kibamia ama anahofia mguu.wa mtoto.ndio.maana anataka kujua size mapemaaaaaaaa
 
kuiona tu haitoshi, inabidi iingie pia, asije kukuta majanga akajuta, ndoa si kwenda kupikiwa, ila ni jambo pana sana.
 
Hapo hoja ya msingi siyo kuona, binti alikuwa yuko tayari kwa game, lakini jamaa ndo anajishebedua, may be ni mwoga
 
....mwambie hayo mapepo yatamuingiza chaka, akiyapa mwanya wa inchi moja yataingia kama hayana akili nzuri, namfahamu binti mmoja naye alimbipu shetani, mpaka kesho anashinda analia kwa alichokipata....
 
Hapa kuna mambo mbili;
Binti anaweza amesikia habari za huyo mkaka kutoka kwa watu flani flani kuwa, hana kile kitu. Hivyo naye anatamani akione tu.
Au, binti anatamani awekewe hata juu juu tu lakini anaogopa kusema.
Lakini, thru ma experience, hiyo ndoa haitadumu. Huyo binti anasikiliza sana maneno ya nje.
 
Ona wengi mnashadadia eti wamalize kabisa loh! Binadamu bana!!
 
[FONT=book
antiqua]Wasiwasi wake sijui nini!!!! Yawezekena ana option mbili Labda
anaogopa kibamia au anaogopa mguu wa mtoto. Watu siku hizi mapenzi
wameyaamishia katika kugegedena na kuyatoa moyoni. Poleni sana
wanadamu[/FONT]

Umeoonaaaa eeh,Lazima aone asije akajuta after.Issue kama siyo asepe mapemaaaa!alaa.hataki kuuziwa mbuzi kwenye kiloba.kwan kuwa MWANAUME haijalishi...
 
Umeoonaaaa eeh,Lazima aone
asije akajuta after.Issue kama siyo asepe mapemaaaa!alaa.hataki kuuziwa
mbuzi kwenye kiloba.kwan kuwa MWANAUME haijalishi...

Amwambie na yeye anataka kuona ya kwake so waoneshane. Haki sawa
 
Safi sana nmeipenda huyo dada c anajua tatzo la wanaume wengi ndo maana kamwambia "show me wat u got"
 
mhm ulokole wa mashaka huo.....ila mwanawane hawajagegedana hao?
 
Ulokole wa siku hz upo kdigital jaman hahaha! Mungu atusaidie sana wapendwa wenzangu!
 
Nahofia sana mashoga zake!

Keshadanganganywa huyo na kusikiliza story za shake well before use!

Kijana awe na msimamo tu, ASIMPE!! Option hapo kama kweli kijana anamaanisha kuto-du before marriage, amkanye tu huyo fiancee wake kuhusu makundi mabaya ya wanawake wenzie!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom