Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 351
Rafiki yangu ni born again, anasali kwenye kanisa moja maharufu hapa bongo. Anampenzi wake ambaye naye ni born again wamepanga kuoana. Moja ya sharti la maborn again ni kutokufanya mambo yetu yale mpaka kieleweke (ndoa).
Jana binti kamjia na mpya ya mwaka kwake. Walikuwa wamekaa sehemu nyakati za usiku kwa ajili ya kupanga mambo yao ili waweze kukamilisha taratibu za uchumba ikiwemo kupeleka barua na maandalizi ya mahari. Cha ajabu binti jana kamlazimisha rafiki yangu amuonyeshe dushelele kabla ya taratibu zote.
Je wadau, binti akiona hapo si sawasawa na kuwa ameshafanya zinaa au???? Aone ili iweje?????????
Jana binti kamjia na mpya ya mwaka kwake. Walikuwa wamekaa sehemu nyakati za usiku kwa ajili ya kupanga mambo yao ili waweze kukamilisha taratibu za uchumba ikiwemo kupeleka barua na maandalizi ya mahari. Cha ajabu binti jana kamlazimisha rafiki yangu amuonyeshe dushelele kabla ya taratibu zote.
Je wadau, binti akiona hapo si sawasawa na kuwa ameshafanya zinaa au???? Aone ili iweje?????????