selemangrace346
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 468
- 639
Ilikuwa ni leo takribani Mida ya Saa nane mchana,Binti yangu mpendwa( 2yrs) alikuwa amelala peke yake chumbani.
Baada kama ya saa moja Baadae nasikia akilia kwa sauti ya juu sana, kwenda kumchek nkakuta damu Damu inamtoka kwenye kidole ni kama amekatwa na kitu chenye Ncha kali but kitandani pale nmejaribu kuchek mara mbilimbili hakuna kitu kama hiko hadi sasa bado nachek kiukweli sijaona kitu...Hii inaweza kuwa imekaaje wadau?
Baada kama ya saa moja Baadae nasikia akilia kwa sauti ya juu sana, kwenda kumchek nkakuta damu Damu inamtoka kwenye kidole ni kama amekatwa na kitu chenye Ncha kali but kitandani pale nmejaribu kuchek mara mbilimbili hakuna kitu kama hiko hadi sasa bado nachek kiukweli sijaona kitu...Hii inaweza kuwa imekaaje wadau?