Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,816
Kwa wasiofahamu mechi za kufuzu AFCON zinaendelea , na kwa leo mechi kubwa ni Ethiopia dhidi ya Egypt.
Hii mechi ina uhusiano gani na Tanzania?
Ethiopia kama ilivyo Tanzania siyo taifa kubwa kisoka. Lakini katika mechi hii ukiangalia unaona namna wachezaji wanavyojituma pamoja na kukutana na kigogo wa bara la Afrika, Misri.
Misri kama ilivyo Algeria ni kigogo wa soka la Afrika, akiwa ametoka kucheza fainali miezi michache tu iliyopita.
Lakini ukitazama mechi ya leo vijana wa Ki Ethiopia wame dorminate kila idara, Ethiopia wanacheza kwa kujiamini sana.
Tanzania tuna safari ndefu sana kwenye soka la wanaume.
Hii mechi ina uhusiano gani na Tanzania?
Ethiopia kama ilivyo Tanzania siyo taifa kubwa kisoka. Lakini katika mechi hii ukiangalia unaona namna wachezaji wanavyojituma pamoja na kukutana na kigogo wa bara la Afrika, Misri.
Misri kama ilivyo Algeria ni kigogo wa soka la Afrika, akiwa ametoka kucheza fainali miezi michache tu iliyopita.
Lakini ukitazama mechi ya leo vijana wa Ki Ethiopia wame dorminate kila idara, Ethiopia wanacheza kwa kujiamini sana.
Tanzania tuna safari ndefu sana kwenye soka la wanaume.