Ethiopia 2 Vs Egypt 0; Tanzania tuna safari ndefu sana kwenye soka

Tz boy 4tino

JF-Expert Member
Sep 14, 2014
1,598
1,816
Kwa wasiofahamu mechi za kufuzu AFCON zinaendelea , na kwa leo mechi kubwa ni Ethiopia dhidi ya Egypt.

Hii mechi ina uhusiano gani na Tanzania?

Ethiopia kama ilivyo Tanzania siyo taifa kubwa kisoka. Lakini katika mechi hii ukiangalia unaona namna wachezaji wanavyojituma pamoja na kukutana na kigogo wa bara la Afrika, Misri.

Misri kama ilivyo Algeria ni kigogo wa soka la Afrika, akiwa ametoka kucheza fainali miezi michache tu iliyopita.

Lakini ukitazama mechi ya leo vijana wa Ki Ethiopia wame dorminate kila idara, Ethiopia wanacheza kwa kujiamini sana.

Tanzania tuna safari ndefu sana kwenye soka la wanaume.
 
Noma sana
Screenshot_20220609-211927.jpg
Screenshot_20220609-211856.jpg
 
Taifa stars haipo mabli sana kama unavyo zania kuwika kisoka. ingawa tumefungwa na Algeria nyumbani lakini timu ipo vizuri sana kuingia fainali zijazo. hata brazil walifungwa 7-0 na German nyumbani world cup 2016 lakini haimaanishi wako nyumba kindinga.

KIM kabadili sana team kulinganisha na alivyokuwa Amunike emanuel/ mtu wa kulaumiwa ni viongozi wa TFF wazamani waliokula njama za kumfukuza KIM kufundisha team. Je angekuwa bado yupo kuanzia 2015 mpaka leo si ange make difference. nyie ngojeni tutafika kule alikofika ghana na , cameroon na Nigeria na Algeria
 
Kwa wasiofahamu mechi za kufuzu AFCON zinaendelea , na kwa leo mechi kubwa ni Ethiopia dhidi ya Egypt.

Hii mechi inauhusiano gani na Tanzania?

Ethiopia kama ilivyo Tanzania siyo taifa kubwa kisoka. Lakini katika mechi hii ukiangalia unaona namna wachezaji wanavyojituma pamoja na kukutana na kigogo wa bara la Afrika, Misri.

Misri kama ilivyo Algeria ni kigogo wa soka la Afrika, akiwa ametoka kucheza fainali miezi michache tu iliyopita.

Lakini ukitazama mechi ya leo vijana wa Ki Ethiopia wame dorminate kila idara, Ethiopia wanacheza kwa kujiamini sana.

Tanzania tuna safari ndefu sana kwenye soka la wanaume.
Yaani kaka nimeshangilia magoli ya hawa waabeshi hatari. Jamaa nilianza kuwafuatilia toka afcon wanapiga very beautiful football tatizo ni finishing moves zao. Ata leo egypt alikuwa anakula nne safi kabisa bila wasiwasi.

Mechi dhidi ya malawi walifungwa but bado walipiiga mbungi hatari. They just didnt creat chances kama leo. Unaona kabisa hii timu inafundishwa.

Furthermore, timu nzima wachezaji wanacheza ligi yao excelt one player ambaye anacheza egypt. Kocha ni mzawa. Kwa kweli jamaa wapo vizuri. Huyu kocha wao nasema hivi kuna club kubwa baraninaftica watamchukua...he has done a very gud job. Yaani timu unaiangalia unafurahia mpira.

Hili liwe fundisho kwa tff mnaweza kutengeneza timu nzuri tuu ukiwa na kocha mzawa na wachezaji wa ndani.
Kwa kweli ethiopia national team ni fundisho kwa waafrica u can do it kama una nia. Cant wait for september watakapo cheza na gunnie. Itakuwa bomba la game.
 
Kwa wasiofahamu mechi za kufuzu AFCON zinaendelea , na kwa leo mechi kubwa ni Ethiopia dhidi ya Egypt.

Hii mechi inauhusiano gani na Tanzania?

Ethiopia kama ilivyo Tanzania siyo taifa kubwa kisoka. Lakini katika mechi hii ukiangalia unaona namna wachezaji wanavyojituma pamoja na kukutana na kigogo wa bara la Afrika, Misri.

Misri kama ilivyo Algeria ni kigogo wa soka la Afrika, akiwa ametoka kucheza fainali miezi michache tu iliyopita.

Lakini ukitazama mechi ya leo vijana wa Ki Ethiopia wame dorminate kila idara, Ethiopia wanacheza kwa kujiamini sana.

Tanzania tuna safari ndefu sana kwenye soka la wanaume.
Enzi za Egypt zimekwisha
 
Yaani kaka nimeshangilia magoli ya hawa waabeshi hatari. Jamaa nilianza kuwafuatilia toka afcon wanapiga very beautiful football tatizo ni finishing moves zao. Ata leo egypt alikuwa anakula nne safi kabisa bila wasiwasi.

Mechi dhidi ya malawi walifungwa but bado walipiiga mbungi hatari. They just didnt creat chances kama leo. Unaona kabisa hii timu inafundishwa.

Furthermore, timu nzima wachezaji wanacheza ligi yao excelt one player ambaye anacheza egypt. Kocha ni mzawa. Kwa kweli jamaa wapo vizuri. Huyu kocha wao nasema hivi kuna club kubwa baraninaftica watamchukua...he has done a very gud job. Yaani timu unaiangalia unafurahia mpira.

Hili liwe fundisho kwa tff mnaweza kutengeneza timu nzuri tuu ukiwa na kocha mzawa na wachezaji wa ndani.
Kwa kweli ethiopia national team ni fundisho kwa waafrica u can do it kama una nia. Cant wait for september watakapo cheza na gunnie. Itakuwa bomba la game.
Jamaa wana cheza vizuri sana yaani mpira wa kueleweka, leo wangeweza kufunga hata goli 4,5 sema tu ndo hivyo striker wao hakuwa makini. Ila timu overall iko vizuri sana.
 
Jamaa wana cheza vizuri sana yaani mpira wa kueleweka, leo wangeweza kufunga hata goli 4,5 sema tu ndo hivyo ma striker wao hawakuwa makini.
Kaka ule mziki balaaa ..yaani nilishangilia yale magoli tafikiria ni mzaliwa wa ethiopia.
Wanacheza mpira wakuvutia kinoma...bonge la burudani.

Simba kama wanatafuta holding midfielder wamchukue yule namba sita wao. Pia kuna yule winger wao ambaye alifunga goli la kwanza ni mzuri.

Nakubaliana na wewe hii timu inahitaji striker, fullback na pia gk but otherwise, it a well oiled machine.
 
Kwa wasiofahamu mechi za kufuzu AFCON zinaendelea , na kwa leo mechi kubwa ni Ethiopia dhidi ya Egypt.

Hii mechi ina uhusiano gani na Tanzania?

Ethiopia kama ilivyo Tanzania siyo taifa kubwa kisoka. Lakini katika mechi hii ukiangalia unaona namna wachezaji wanavyojituma pamoja na kukutana na kigogo wa bara la Afrika, Misri.

Misri kama ilivyo Algeria ni kigogo wa soka la Afrika, akiwa ametoka kucheza fainali miezi michache tu iliyopita.

Lakini ukitazama mechi ya leo vijana wa Ki Ethiopia wame dorminate kila idara, Ethiopia wanacheza kwa kujiamini sana.

Tanzania tuna safari ndefu sana kwenye soka la wanaume.
MI NAONA HATUNA SAFARI.
 
Sisi tunaopenda mpira mzuri na magoli, huwa tunashangilia tu hata kama siyo timu ya taifa letu.
 
Ethiopia sio wa mchezo. Nakumbuka world cup qualifier iliyopita ya russia ilikuwa bado kidogo aende world cup.. alifika playoff round ya timu 10 zilizoongoza groups zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom