matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
- Jamani with all due respect, naomba kuuliza huyu Dada ni Mbunge? Ni Kiongozi aliyechaguliwa na wananchi? Au ni self appointed Leader? I mean kumbe na huko Chadema basi mnapenda majina ya baba maana huyu Sister sio Kiongozi, hajachaguliwa na anybody!
- Sasa mbona Chadema mnamshobokea sana? Yaani unaona tatizo lenu Chadema vacuum ya Viongozi, sasa hata Mdada akijitokea ana jina la Wassira huyoo anapewa platform kwamba eti Mwanaharakati? duh!!
- UKAME WA VIONGOZI GENUINE UNAWATESA SANA KUMBE NDIO MAANA MLIKUWA MNALILIA NIJE HUKO? HA! HA! PHEW! LICHAMA LA MEDIOCRE MAANA SASA HATA HUYU SUBIRI KIDOGO TU UTASIKIA NI MBUNGE WA VITI MAAALUM!1 HA! HA! HA!
Le Mutuz!!
wewe ni wakusamehewa tu..frustration zinakusumbua.
Kitaalamu binadamu ambaye mwili wake haujabalance lazima atakuwa na mapungufu flani..mwili wako juu ni mkubwa sana wakati vimiguu ni vidogo sana..sasa ni kwamba chini kunazidiwa uzito,miguu inabeba mzigo mkubwa sana,hii kitu inapunguza ata uwezo wa mwili kufanya kazi zote..sasa wewe sehemu yako ya ubongo imekuwa imeathilika sana mpaka umepoteza uwezo wa kufikiri kwa sasa