William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Willium John Malecela ana miaka 51 na ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe John Malecela ila changushangaza kada huyu anatumia mitandao ya kijamii kukitia aibu chama cha mapinduzi.
Wachambuzi wa mambo wamebaini kuwa Willium malecela ameamua kushiriki kuua CCM kwa namna ya kipekee kama malipizi ya kutoswa kwa baba yake katika nafasi nyeti ndani ya ccm.
Kada huyu aliyekaa nchi za nje kwa miaka 30 inasemekana amekuja tanzania baada ya matatizo ya kifamilia yaliyomkabili baada ya kufumaniwa na mkewe mara kadhaa akifanya mapenzi kwenye mitandao na simu(phone sex) na watoto wadogo jambo ambalo lilivunja ndoa ile na kumfanya bwama Willium kurudi Tanzania.
Willium Malecela ambaye alikua dereva wa malori huko Marekani alisomea kozi za askari jamii katika level ya cheti pia aliwahi kufanya kazi ya usafi katika meli mbalimbali za wagiriki huko Belgium ambapo familia yake inadai mwenendo wake ulibadilika baada ya kufanya kazi za usafi(cleaning) ktk meli izo kwa mda mrefu.
Inasemekana kuwa bwana Willium Malecela amekuwa frustrated na maisha baada ya ndugu zake wengi kumuona kama mtu mzima asiye na akili za kiutu uzima kwa matendo yake anayofanya na kuaibisha jina la familia kwa ujumla.
Mwandishi wa gazeti hili alipojaribu kumtafuta kwa simu ili kudhibitisha habari hizi, hakufanikiwa kumpata ndugu Willium Malecela hewani.
Na mwamndishi wetu.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
- Hillarious! ha! ha! ha! ha! kumbe ninawatesa kihivi saafi saana nimewaahidi kwamba kaeni mkao wa kula Chadema zile siku zenu za kuchezea CCM humu zimefika mwisho, huyu Ester hana anything zaidi tu ya mtoto wa WAssira mdogo!!
Le Mutuz!!