KIMAROO
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 453
- 258
- Nimeuliza hivi huyu ni Kiongozi aliyechaguliwa na nani? Au ndio yale yale mambo yenu ya kupenda majina ya Viongozi wa CCM, kwa sababu Wassira ni jina la Baba mkubwa wa huyu Sister, na Wassira ni Waziri wa CCM, maana yake ni kwamba kumbe mnazimika majina ya Viongozi wa CCM, ndio maana mlikuwa mnaniomba sana nije huko, nimewatolea nje siwezi kujiunga na chama kisichokuwa na consistency!
- I mean siku moja mnalia CCM ina watoto wa Vigogo, hapa mnakumbatia mtoto mwenye jina la kigogo wa CCM, so kumbe mnalia kwa sababu ya kuwakosa watoto wa Vigogo wa CCM,
- Sasa wait huyu Ester sasa hivi anakumbatiwa, ajaribu tu kusema anataka kugombea urais, utaona atakavyopigwa mawe kwamba ni msaliti, maana hiyo nafasi yakugombea Urais na Mwenyekiti wa Chadema, ni lazima wawe Viongozi wawili wanaoshindwa kila uchaguzi, Slaa na Mbowe tu!!
- Waambieni Startv nikutane na huyu kilaza wenu, nitamchana mpaka mtalia na yale maswali yenu ya pumba pumba, last time nilikua NAtional TV, ninajadili ishus serious kwa Taifa, Taifa zima linanisikiliza wakasema sasa maswali toka JF, yaani ilikuwa aibu sana maswali yote ni kwa nini siku hizi hingii JF, ohhh kwa nini siku hizi umetoka JF, yaani rubbish tupu!!
LE Mutuz!!
zaidi ya siasa ni kazi gani nyingine unaweza fanya na ikaisaidia jamii yako na taifa kwa ujumla kaka mkubwa?? k