Esther Bulaya (MB) Achemka Katika Interview EATV Chanel 5...!

Esther Bulaya (MB) Achemka Katika Interview EATV Chanel 5...!

Status
Not open for further replies.
Yani wewe msukule ni zero brain hakuna kitu kichwani mwako.

Wassira aligombea unec mkamchagua kwa kishindo baada ya kuwahadaa kuwa ataimaliza Chadema. Matokeo yake Chadema inaikimbiza mpera mpera ccm na serikali yake huku wasira akipiga ramli kuwa Chadema inakufa!

Kama wasira anasubiri kuapishwa basi itakuwa raisi wa buku saba fc ofisi ya lumumbas project fame!

Niko hapa jukwaani siku nyingi tu,Maranya nakujua we ni cdm mnazi, huwezi ipenda CCM labda mpaka utakapo hamia.

Unapotosha mambo mengi na kutunga uongo(sijui kama huwa unakumbuka kutubu).
Wassira nimwiba wenu tu, utakataa mdomoni lakini unakuchoma moyoni.

Hoja imekushinda umehamia kwenye pumba, hapo unadhani ntakujibu nini?

Wassira ni Mzee na Slaa ni kijana wa miaka 18.
Haya jipigie makofi.
Mbulura.
 
Mtangazaji naye alibofoa kwa kusema esta bulaya ni mbunge wa chama tawala cha upinzani ccm hahah nilicheka sana

Ni yule wa mtangazaji wa kike nini? Kama ni Adrian Stepp huwa anakuwa makini sana na huwa anawasika viongozi wengi tu.
 
Last edited by a moderator:
huyo wasira ni mtu dhaifu sana.je,unazijua sababu za matokeo ya bunda kucheleweshwa sn?.je unajua kuwa hata uchaguzi wa 2010 alichakachua matokeo?wana bunda wanalijua hilo.kwa faida yako tu ni kwamba ukiachilia mbali kuzomewa kwake mara 2 na wana bunda mgombea wa cdm ndg malugu alidhurumiwa ushindi wake mchana kweupe.

Hayo uliyasikia au ulisimuliwa?

Uliyaona au ulikuwepo?

Matokeo ya 2010 unayajua?

1. Wassira kura 28,987.

2. Malugu cdm kura 9,360.

3. Wilegi CUF kura 432.

Malugu wa chadema ni msomi wa degree 3. Kwanini hakwenda mahakamani kudai haki yake? Pia aliwahi kuwa DC wa wilaya ya Magu,Same na Misenyi kabla hajafukuzwa wakati huo na Mhe. Mkapa kwa kula rushwa.

Jipangeni nyie vijana.
 
hata mimi nimeshangaa kwakweli, nahis kuna kitu atakua alinyimwa mana sijategemea comment km hiyo toka kwa huyo jamaa.

JF ina mambo sana maana inawezekana pia kuwa mwenye jimbo kwa sasa ndiye mwenye ID tunayemshangaa. Who knows?
 
Mie nimeshangaa jibu lake. Maana kaulizwa nje ya siasa hupenda kufanya kazi gani? Eti anasikiza hotuba za Martin Luther King jr, Nyerere na Mandela. Hivi kusikiliza ni kazi? Au mie ndio mshamba! Yaani kuna watu ambao kazi zao ni kusikiliza hotuba tu?
Nilitegemea aseme labda anafundisha, au analima anafanya biashara au hata anaandika vitabu n.k na si kusikiliza tu kama kazi yake zaidi ya siasa.

Namimi nilijuliza swali hilo hilo juu ya alichojibu Mh.....Kama kiswahili kinatusumbua,kiingereza tutaweza???
 
sio huyu tuu tuna wabunge wengi makanjanja hawanaishu kazi yao iletwa hoja na mwana sisi em mwenzao waseme ndiooo na kuzomea wapinzani.
 
Yani humu ndani mkimsema ivona kamutu na esther bulaya huwa naumia sana. Any way,kama wamezingua wapigwe tu"in pinda voice"
 
daa maskini poleni sana watu wa tarimee mkoani mara....ndoo damu yenu hii hamuwezi kukikataaa ....amewatia aibu wana tarime cha umuhimu mpelekeni jeshini

Ulikuwa unakunywa uji ?inaonyesha geografia umeishia standard two

Sent from my BlackBerry 9700 using Jamii Forums
 
pamoja na hayo makosa yote kwenye mahojiano , dada Bulaya ni mmoja kati ya wanawake wachache sana ndani ya CCM mwenye uwezo wa kuacha viti maalum na kusimama kama mbunge wa kugombea na kushinda kama alivyofanya Halima Mdee.
 
Duh!! kumbe tunajuana lakini hatuambiani ukweli? hongera Ritz kwa hilo.
uongozi ni kipaji na hakitengenezwi kama pipi, mie namsamee kwa kuwa elim yake siijui ila lazima ajue nini maana ya kazi na kujisomea au kulifresh maind kwa kuangalia filam.
 
kuna kitu kikubwa cha kujifunza kutoka kwa wanasiasa,ya kwamba vitu wanasiasa wanavyovisema au kuvitenda havitoki rohoni/si halisi, na namna tu ya kudanganya jamii kuwa wao ni watu wazuri sana wapo smart na wanajali wananchi kumbe uongo mtupu plus maigizo.
100% ya wanasiasa wa tanzania wanaishi kwa maigizo(kama bongo movie) na mh esther bulaya kawawakilisha wote.
Ni kweli mkuu wanasiasa walio wengi ni wanafiki,mara kwa mara hutaka kuonekana smart machoni mwa jamii .Hapo mwenyezi Mungu ndiyo aliweka mpaka huwezi kujua mtu anawaza nini? jee anachokisema kimetoka ndani ya nafisi yake? au hapana.Hata kama ikitikea wananchi wamevunja sheria fulani au wako kwenye makosa, hushindwa kuwa ambia ukweli na kuwaelekeza njia sahihi hii ni hatari, wenyewe ni kujiweka upande wa kuwatetea bila kujali madhara yanayoweza kujitokeza.
 
Me ananikera anapojifananisha na MEE,kiuongeaji na mavazi,toka kivyako dada uwezo unao wewe kama wewe.
 
Huyo wa kike nilicheka sana nadhani mpiga picha alimshitua kuwa kuwa ni ccm chma tawala
 
Huyu Esther Bulaya hana uwezo wa kujieleza hata huko bungeni kaingia kwa mbeleko tu.

Ritz acha kutumiwa na genge la wahuni wa lumumba kum-defence wa wasira,tunajua wasira ana hali mbaya sana bunda kisiasa na kwa taarifa yako bulaya vijana wengi wanamkubali tafauti na huyo mnaempenda hapo lumumba wasira
 
Huyu ndie wa Kupambana na Wassira?
Wassira anapambana na chama kama cdm na kukishinda sembuse bulaya?
Wassira anategemewa kuchukua nchi sembuse huyu kilaza ambaye hata 4m four yake ya mashaka.

huna tofauti na jina lako,wassira anafanya juu chini kumzuia dogo bulaya asigombee bunda na wananchi wengi wanamkubali bulaya tofauti na huyo msinziaji tu bungeni gamba mkubwa
 
Mbunge wa viti maalum kupitia kundi la vijana toka chama cha mapinduzi aki!wakilisha mkoa wa Mara wilaya ya Bunda alikuwa akifanyiwa mahojiano katika kipindi cha ''hot mix'' kinachorushwa kupitia kituo cha television cha EATV - Chanel 5!

Akaulizwa swali kuwa nje ya siasa anapenda kufanya shughuli gani?mojawapo ya shughuli aliyoitaja kwamba huifanya ni pamoja na kusoma vitabu na kusikiliza hotuba za wanaharakati kama Martin Luther King Jr., Mwalimu Nyerere na Mandela!
Katika kukoleza maelezo yake akasema anapenda sana kusoma kitabu kinachoitwa ''How to be a Good Political Leader''. Mtangazaji akamuuliza jina la Author wa hicho kitabu lakini mheshimiwa mbunge akashindwa kumtaja kwakuwa alikuwa hamkumbuki pamoja na kuomba apewe muda ili amkumbuke!!

MY TAKE:
Kwa mtazamo wangu si rahisi mtu kusahau jina la author wa kitabu unachokipenda kukisoma mara kwa mara! Pengine Mh.Esther alikuwa anatafuta mileage kwamba ni msomaji mzuri wa vitabu lakini kachemka kwa kutomjua author wa kitabu akipendacho!

Changa la macho...! Mtahini na mtahiniwa wote hawakujiandaa
 
Tatizo Mh Esther anapojibu au kuchangia hoja huwa anajikita katika maelezo na siyo ''kuhit-point''. Kwa kazi aliyonayo ajitahidi kusoma sana vitabu, kuwa karibu na watu weledi na awe na kiu ya kutafuta maarifa. Kwa kuwa ni mbunge najua atakuwa na rasilimali pesa za kumsaidia kufikia kuwa ''Big thinker''.
 
Huyu dada bado sanaaaa!! Anahitaji kujifunzwa namna ya kujenga hoja "Critical Thinking". Hata mie nilishangaa sana, unasema unapenda kusoma kitabu fulani, halafu unashindwa kumfahamu Author wake kweli? However, nampongeza kuwa anajitahidi kuwa neurtal sometimes, anahitaji msasa kidogo, anajitahidi kum-copy Halima Mdee hata kwenye kuchangia kwake na hasa kwenye body gesture. But still, she has a long way to go.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom