Esther Bulaya (MB) Achemka Katika Interview EATV Chanel 5...!

Esther Bulaya (MB) Achemka Katika Interview EATV Chanel 5...!

Status
Not open for further replies.
Wewe ndo mshamba! hotuba za wanaharakati zimechangia sana katika kuwapa watu hamasa. vijana wengi hata leo wanasikiliza hotuba za viongozi wa zamani, wanafalsafa, wanaharakati na watu hupata elimu kwa kusikiliza kama vile kusoma! Nakushauri utafute muda uwe unzisikiliza kwa makini hotuba za hayati baba wa taifa (ziko nyigi mitaani kwa bei ya tzs 2,000 tu). Utajifunza mengi kwa kusikiliza pia!

Si vibaya kabla ya kuchangia ukajipa muda wa kuisoma hoja yenyewe! Sijasema kusikiliza hotuba ni kitu kibaya. Ni kitu kizuri sana, mie mwenyewe nina collection za kutosha za hotuba za watu kama mwal Nyerere maana zimejaa hekima. Swali aliloulizwa mh Bulaya ni "je nje ya siasa unafanya kazi gani?" , Jibu lake ndio likaleta utata. Kwamba kazi yake nje ya siasa ni kusikiliza hotuba. Does this answer the question? Yaani Kazi yake nje ya siasa ni kusikiliza hotuba!! Labda nikwambie kitu, yeye amedeclare kwamba kazi yake ni siasa, well, ndio inayomlipa. Anapoulizwa kazi nyingine nje ya siasa maana yake anaulizwa kazi ya ziada inayoweza kuwa ni kazi ya full time kwa wengine(ambayo kwake ni ya ziada), yeye anasema ni kusikiliza hotuba, sasa nikuulize je kuna mtu ambaye analipwa kwa kusikiliza hotuba? Nikipata jibu hili kwamba kusikiliza hotuba ni njia ya kumuingizia mtu kipato nitakuelewa mkuu. Au aseme kwamba alimanisha "hobby" and not "occcupation."
 
Nakubaliana na wanhaosema kusikiliza hotuba na hata kusoma vitabu si kazi. Mh kachemka
 
Kama kazi=ajira

Then kusikiliza hotuba na kusoma vitabu=kazi.

Basi vijana kukosa ajira ni uzembe.

But kazi siyo lazima iingize kipato.

Kuna mawili...

Either wrong answer to wrong question.

Right answer to a wrong question.

Kifizikia mbona ukiulizwa umefanya kazi na ukisema umeshinda kutwa nzima umebeba unga kilo mia bila kusogea hujafanya kazi hata kama umelipwa.

Watu wanatafsiri swali kwa mazoea
I admit kwamba swali ni tata ndo maana watu wanashindwa kuelewa majibu ya Ester.
 
Basi ulitaka aseme anapenda kusikiliza taarabu au kulala?

Kwani kulala au kusikiliza taarabu ni kazi? Tofautisha "hobby na occupation"! Kulala na kusikiliza taarabu kama ulivyoonyesha are just "hobbies" nobody can pay you a penny for that!!
 
Huyu ndie wa Kupambana na Wassira?
Wassira anapambana na chama kama cdm na kukishinda sembuse bulaya?
Wassira anategemewa kuchukua nchi sembuse huyu kilaza ambaye hata 4m four yake ya mashaka.
 
Huyu ndie wa Kupambana na Wassira?
Wassira anapambana na chama kama cdm na kukishinda sembuse bulaya?
Wassira anategemewa kuchukua nchi sembuse huyu kilaza ambaye hata 4m four yake ya mashaka.

Tatizo lako unaongozwa na chuki kama lilivyo jina lako. Esther Bulaya ni better off mara mia nane kuliko Wassira.

Kama Wassira anajiandaa kuchukua nchi basi itakuwa nchi ya kusadikika kwakuwa hana uwezo wa kupambana na Chadema sasa atawezaje kuishinda? Kama vyombo vya dola policcm na ticcm wanahenya kupambana na Chadema sasa mzee wassira aliyechoka kiakili na kimwili anawezaje kufanya mpambano na Chadema!

Ubunge tu wa Bunda tayari Esther Bulaya keshamzidi nguvu huko ndani ya ccm. Ye ajiandae tu kula pensheni yake ya uzeeni.
 
Huyu Esther Bulaya hana uwezo wa kujieleza hata huko bungeni kaingia kwa mbeleko tu.

Ha ha ha ha! Hata wewe mkuu Ritz umemkana Bulaya? Hii kweli kali!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lako unaongozwa na chuki kama lilivyo jina lako. Esther Bulaya ni better off mara mia nane kuliko Wassira.

Kama Wassira anajiandaa kuchukua nchi basi itakuwa nchi ya kusadikika kwakuwa hana uwezo wa kupambana na Chadema sasa atawezaje kuishinda? Kama vyombo vya dola policcm na ticcm wanahenya kupambana na Chadema sasa mzee wassira aliyechoka kiakili na kimwili anawezaje kufanya mpambano na Chadema!

Ubunge tu wa Bunda tayari Esther Bulaya keshamzidi nguvu huko ndani ya ccm. Ye ajiandae tu kula pensheni yake ya uzeeni.

Unachokiongea hata hukijui we kilaza
1.Esta bulaya hawezi kupambana na Wassira hata robo huko bunda, Yaani kama Bulaya anagombea basi Wassira anakwenda siku ya kuapishwa tu maana Tyson Ana historia ya kumaliza mpambano hata kabla haujaanza, Ulizaa Warioba alifanyweje na mtu huyu.

2. Kama katibu Wako Mkuu wa Chadema na Mkiti Wako wanaogopa ku-argue na Tyson, Maranya we ni nanii muraaa?

3.Hakuna asiyejua kuwa Tyson is a song of the day mnapoaanza hotuba na vikao vyenu.

4.Akigombea mziki mnaujua.
 
Mi nafikiri mtangazaji ndi alikosea kumuuliza huyu dada swali. Alipaswa kumuuliza swali linalomuusu Mkuu wa Kaya, Na imani angejibu vizuri kuliko ata first bb
 
Huyu ndie wa Kupambana na Wassira?
Wassira anapambana na chama kama cdm na kukishinda sembuse bulaya?
Wassira anategemewa kuchukua nchi sembuse huyu kilaza ambaye hata 4m four yake ya mashaka.

vp tena Mlimumba? mbona unatoka mapovu, mi kwakukusaidia naomba uanzishe thread inayosema "NANI ZAIDI KATI YA MZEE WA GOMBE NA CHAKULA YA MKUU WA KAYA" Alafu utuachie wadau tudadavue.
 
Unachokiongea hata hukijui we kilaza
1.Esta bulaya hawezi kupambana na Wassira hata robo huko bunda, Yaani kama Bulaya anagombea basi Wassira anakwenda siku ya kuapishwa tu maana Tyson Ana historia ya kumaliza mpambano hata kabla haujaanza, Ulizaa Warioba alifanyweje na mtu huyu.

2. Kama katibu Wako Mkuu wa Chadema na Mkiti Wako wanaogopa ku-argue na Tyson, Maranya we ni nanii muraaa?

3.Hakuna asiyejua kuwa Tyson is a song of the day mnapoaanza hotuba na vikao vyenu.

4.Akigombea mziki mnaujua.

Yani wewe msukule ni zero brain hakuna kitu kichwani mwako.

Wassira aligombea unec mkamchagua kwa kishindo baada ya kuwahadaa kuwa ataimaliza Chadema. Matokeo yake Chadema inaikimbiza mpera mpera ccm na serikali yake huku wasira akipiga ramli kuwa Chadema inakufa!

Kama wasira anasubiri kuapishwa basi itakuwa raisi wa buku saba fc ofisi ya lumumbas project fame!
 
Unachokiongea hata hukijui we kilaza
1.Esta bulaya hawezi kupambana na Wassira hata robo huko bunda, Yaani kama Bulaya anagombea basi Wassira anakwenda siku ya kuapishwa tu maana Tyson Ana historia ya kumaliza mpambano hata kabla haujaanza, Ulizaa Warioba alifanyweje na mtu huyu.

2. Kama katibu Wako Mkuu wa Chadema na Mkiti Wako wanaogopa ku-argue na Tyson, Maranya we ni nanii muraaa?

3.Hakuna asiyejua kuwa Tyson is a song of the day mnapoaanza hotuba na vikao vyenu.

4.Akigombea mziki mnaujua.

huyo wasira ni mtu dhaifu sana.je,unazijua sababu za matokeo ya bunda kucheleweshwa sn?.je unajua kuwa hata uchaguzi wa 2010 alichakachua matokeo?wana bunda wanalijua hilo.kwa faida yako tu ni kwamba ukiachilia mbali kuzomewa kwake mara 2 na wana bunda mgombea wa cdm ndg malugu alidhurumiwa ushindi wake mchana kweupe.
 
Hiyo mbona kawaida sana!
Labda alikisoma miaka 2 iloyopita na aliazima kwa mtu.kusahau author ni inawezekana tu!

Hiyo ni sawa na

mtu mmoja kwenye interview aliyeulizwa tofauti na siasa anapenda nini zaidi!akajipambanua kuwa ni mshabiki mkubwa wa kambumbu!kuulizwa anashabikia timu gani hapa tz! Man u! Aha!

'kambumbu' ndio nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom