Esther Bulaya (MB) Achemka Katika Interview EATV Chanel 5...!

Esther Bulaya (MB) Achemka Katika Interview EATV Chanel 5...!

Status
Not open for further replies.

Mwita Maranya

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2008
Posts
10,565
Reaction score
7,993
Mbunge wa viti maalum kupitia kundi la vijana toka chama cha mapinduzi akiwakilisha mkoa wa Mara wilaya ya Bunda alikuwa akifanyiwa mahojiano katika kipindi cha ''hot mix'' kinachorushwa kupitia kituo cha television cha EATV - Chanel 5!

Akaulizwa swali kuwa nje ya siasa anapenda kufanya shughuli gani?mojawapo ya shughuli aliyoitaja kwamba huifanya ni pamoja na kusoma vitabu na kusikiliza hotuba za wanaharakati kama Martin Luther King Jr., Mwalimu Nyerere na Mandela!
Katika kukoleza maelezo yake akasema anapenda sana kusoma kitabu kinachoitwa ''How to be a Good Political Leader''. Mtangazaji akamuuliza jina la Author wa hicho kitabu lakini mheshimiwa mbunge akashindwa kumtaja kwakuwa alikuwa hamkumbuki pamoja na kuomba apewe muda ili amkumbuke!!

MY TAKE:
Kwa mtazamo wangu si rahisi mtu kusahau jina la author wa kitabu unachokipenda kukisoma mara kwa mara! Pengine Mh.Esther alikuwa anatafuta mileage kwamba ni msomaji mzuri wa vitabu lakini kachemka kwa kutomjua author wa kitabu akipendacho!
 
Esther Bulaya wala siyo kiongozi kama anavyojitanabaisha. Tena anajitahidi sana kukaa karibu na Halima Mdee ili amsaidie mambo ya kiuanaharakati, lakini wapi! Hawezi kuwa mwanaharakati hata chembe.
 
Pamoja na kuonekana amechemka ila nasikia ni kipenzi kikubwa kwa wananchi wa jimbo la Bunda, na kwa kiasi kikubwa anatishia maisha ya kisiasa ya Mzee Tyson, watu wa Jimbo la Bunda wanaweza kutupatia ukweli
 
Chezea adrian ww 1 day vidada walienda pale akawauliza nini tofaut kati ya urembo na uzuri wakatoa macho then akawauliza ninyi na warembo au wazuri
 
Mie nimeshangaa jibu lake. Maana kaulizwa nje ya siasa hupenda kufanya kazi gani? Eti anasikiza hotuba za Martin Luther King jr, Nyerere na Mandela. Hivi kusikiliza ni kazi? Au mie ndio mshamba! Yaani kuna watu ambao kazi zao ni kusikiliza hotuba tu?
Nilitegemea aseme labda anafundisha, au analima anafanya biashara au hata anaandika vitabu n.k na si kusikiliza tu kama kazi yake zaidi ya siasa.
 
Mbunge wa viti maalum kupitia kundi la vijana toka chama cha mapinduzi akiwakilisha mkoa wa Mara wilaya ya Bunda alikuwa akifanyiwa mahojiano katika kipindi cha ''hot mix'' kinachorushwa kupitia kituo cha television cha EATV - Chanel 5!

Akaulizwa swali kuwa nje ya siasa anapenda kufanya shughuli gani?mojawapo ya shughuli aliyoitaja kwamba huifanya ni pamoja na kusoma vitabu na kusikiliza hotuba za wanaharakati kama Martin Luther King Jr., Mwalimu Nyerere na Mandela!
Katika kukoleza maelezo yake akasema anapenda sana kusoma kitabu kinachoitwa ''How to be a Good Political Leader''. Mtangazaji akamuuliza jina la Author wa hicho kitabu lakini mheshimiwa mbunge akashindwa kumtaja kwakuwa alikuwa hamkumbuki pamoja na kuomba apewe muda ili amkumbuke!!

MY TAKE:
Kwa mtazamo wangu si rahisi mtu kusahau jina la author wa kitabu unachokipenda kukisoma mara kwa mara! Pengine Mh.Esther alikuwa anatafuta mileage kwamba ni msomaji mzuri wa vitabu lakini kachemka kwa kutomjua author wa kitabu akipendacho!


kuna kitu kikubwa cha kujifunza kutoka kwa wanasiasa,ya kwamba vitu wanasiasa wanavyovisema au kuvitenda havitoki rohoni/si halisi, na namna tu ya kudanganya jamii kuwa wao ni watu wazuri sana wapo smart na wanajali wananchi kumbe uongo mtupu plus maigizo.
100% ya wanasiasa wa tanzania wanaishi kwa maigizo(kama bongo movie) na mh esther bulaya kawawakilisha wote.
 
Esther Bulaya wala siyo kiongozi kama anavyojitanabaisha. Tena anajitahidi sana kukaa karibu na Halima Mdee ili amsaidie mambo ya kiuanaharakati, lakini wapi! Hawezi kuwa mwanaharakati hata chembe.

Sijawahi kumkubali huyu dada hata chembe nimejitahidi sana kumsikiliza lakini bado hajanivutia
 
Pamoja na kuonekana amechemka ila nasikia ni kipenzi kikubwa kwa wananchi wa jimbo la Bunda, na kwa kiasi kikubwa anatishia maisha ya kisiasa ya Mzee Tyson, watu wa Jimbo la Bunda wanaweza kutupatia ukweli

Msimpagawishe Esta jamani, hata yeye anajua kuwa akisimama kwenye uchaguzi hatakaa apite. Alipata ubunge wa viti maalum kwa jinsia yake tuu. Mara, mwanadada huyu hatakaa apate kwa kura.
 
Esther Bulaya wala siyo kiongozi kama anavyojitanabaisha. Tena anajitahidi sana kukaa karibu na Halima Mdee ili amsaidie mambo ya kiuanaharakati, lakini wapi! Hawezi kuwa mwanaharakati hata chembe.

Hiyo mbona kawaida sana!
Labda alikisoma miaka 2 iloyopita na aliazima kwa mtu.kusahau author ni inawezekana tu!

Hiyo ni sawa na

mtu mmoja kwenye interview aliyeulizwa tofauti na siasa anapenda nini zaidi!akajipambanua kuwa ni mshabiki mkubwa wa kambumbu!kuulizwa anashabikia timu gani hapa tz! Man u! Aha!
 
Mie nimeshangaa jibu lake. Maana kaulizwa nje ya siasa hupenda kufanya kazi gani? Eti anasikiza hotuba za Martin Luther King jr, Nyerere na Mandela. Hivi kusikiliza ni kazi? Au mie ndio mshamba! Yaani kuna watu ambao kazi zao ni kusikiliza hotuba tu?
Nilitegemea aseme labda anafundisha, au analima anafanya biashara au hata anaandika vitabu n.k na si kusikiliza tu kama kazi yake zaidi ya siasa.

Ni kweli kabisa wanasiasa wengi wana fake status zao ili waonekane wako smart lakini ukiwafuatilia unakuta bado wanapwaya sana wanapojieleza!

Pamoja na kushindwa kumfahamu author wa kitabu anachopendelea kukisoma lakini kusikiliza hotuba haiwezi kuwa kazi!
 
Esther Bulaya wala siyo kiongozi kama anavyojitanabaisha. Tena anajitahidi sana kukaa karibu na Halima Mdee ili amsaidie mambo ya kiuanaharakati, lakini wapi! Hawezi kuwa mwanaharakati hata chembe.

Nani alikudanganya kuwa yuko karibu na Halima Mdee kwa ajili ya kudesa? Wale ni mashoga tuuuuuuuuuuuu..........???Tena mara nyingi wanashare hata getto.
 
Mie nimeshangaa jibu lake. Maana kaulizwa nje ya siasa hupenda kufanya kazi gani? Eti anasikiza hotuba za Martin Luther King jr, Nyerere na Mandela. Hivi kusikiliza ni kazi? Au mie ndio mshamba! Yaani kuna watu ambao kazi zao ni kusikiliza hotuba tu?
Nilitegemea aseme labda anafundisha, au analima anafanya biashara au hata anaandika vitabu n.k na si kusikiliza tu kama kazi yake zaidi ya siasa.

Hahaha binafsi amenihuzunisha sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom