Esther Bulaya wala siyo kiongozi kama anavyojitanabaisha. Tena anajitahidi sana kukaa karibu na Halima Mdee ili amsaidie mambo ya kiuanaharakati, lakini wapi! Hawezi kuwa mwanaharakati hata chembe.
We nawe! Kwa kuwa huyo wa kwako ndio mwanaharakati wa maana sana? Hamna kitu pale!!