Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #181
Ndio maana mnaambiwa mnaubongo wa fisiUfisi wangu uko wapi ? Swali la kitoto unalijibu kitoto
Ndio maana mnaambiwa mnaubongo wa fisiUfisi wangu uko wapi ? Swali la kitoto unalijibu kitoto
Sijazaliwa kichakani mimiUtakujatukana baba zako, huna adabu.
Ndio maana Lumumba wanaitwa nusu kijikoBila ya MaCCM yenyewe kujua, hii issue imemuimarisha zaidi Bulaya na kujitambua kama sasa amejivua kabisa uccm.
Kwa kuanzia ukamatwaji wake hadi kufikishwa Dar na baadaye kupata dhamana, ameshakuwa kamanda kamili.
Tegemeeni kumuona Bulaya imara zaidi toka sasa, na wala siku sio nyingi atadhihirisha kuwa yeye ni sawa na Wabunge 200 wa CCM.
Ova
Ni kweli, ungezaliwa kichakani ungekuwa na heshima, kama Yesu aliyezaliwa kwenye zizi la Ng'ombe.Sijazaliwa kichakani mimi
Hongera kwa ulichopost , sometimes tunamsahau sana Muumba,Lakini Mungu alipoamua kuiteketeza Babeli iliangamia licha ya kuwa na waganga na walozi na dola yenye nguvu. Hata wakitumia nguvu gani; Mungu akiamua hawataweza cha msingi watumie busara. Wisdom is more than power.
Hii ndo jamii aisee ilukienda hospital hakuna Dawa.Huduma hakuna wako busy na bissness zao wakiwajibishwa mnalalama kama sio unafiki Nn? Wapuuzi wakubwa ninyi shtuken chadema ni genge hakuna kiongoz mwadilifu pale ni magu tu
Hahaha...Wassira alifanya nini Bunda? Teh..teh..tehMjanja kanaswa acha akome hana Jipya hata huko Bunda taabu
Sanasana wanasema tu alihamasisha maandamano....kumbe wapi.hamjibu hili swali wote mnalalamika tu..
kosa la Esther ni nini?
Wanamchochea na kumrefer kwa spika ni waccm wa Bunda kwa tuhuma za uchochezi na kuhamasisha maandamano. Hizo ndio sababu hewa zinazotolewa kwasasa,baada ya muda utasikia tuhuma zingine.no...pale alipofikishwa ofisi za bunge lazima awe aliambiwa...lazima pia yeye anajua ana mvutano gani na ofisi ya spika....tuache kulalamika tu...tujue alikamatwa kwa kosa gani?
Wassira alishasema kuwa atafanya kila namna Ester ashindwe kuongoza Bunda. Sasahv anawatumia polisi na vijana wanaccm kwa kuwahonga ili kumkabili Ester Bulaya,na hiyo kesi haina mantiki yoyote na nyingine waliyotunga ni kuwa Ester ni mchochezi na anahamasisha maandamano ya mara kwa mara.Kesi ilifunguliwa wapi? Ndio waje kumkamata leo kwa kosa la mwaka jana?
Angekuwa waziri mkuu angemchana live, tukamjua ni naniNdio yeye. Mpaka mwezi uliopita kaingiziwa mshahara. Magu kashindwa kumchana kwenye kamera (wote tunajua ni kwanini)
Kaka ndalama, sasa hivi serikali yetu ikitumia sheria inapigwa mweleka mkali, kilichopo ni ubabe tuHaiwezekani kuwa ndio sababu, bunge linaingiaje hapo sasa?
NdiyoKwani bulaya mama yako?
We nyumbu kula kiroba kalale ntolee ubw.abw a wako hapopimbafu wewe na ukoo wako wote