Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Mkuuu ccm hata wafanyeje habari zao kwishaaaaaaKumbe walimleta dar, jamani mama zetu wanadhalilishwa sana, wakina mama msiwe mnawapigia kura ccm mnaona vitendo vyao
Mkuuu ccm hata wafanyeje habari zao kwishaaaaaaKumbe walimleta dar, jamani mama zetu wanadhalilishwa sana, wakina mama msiwe mnawapigia kura ccm mnaona vitendo vyao
kwani kakaa high table kama nani leo?Kwani wongo mlifanya nini
Y alikamatwa?nani aliagizwa akamatwe?this is seriousMh Estar bulaya mbunge wa bunda akiwa kwenye office ndogo za bunge jiji daresalam baada yakuachiwa huru na mda huu anaelekea airport kwa ajiri ya safari yakwenda mwanza kwenye kikao cha kamati kuu..
Ulitaka anywe maji ya Raymond???Kweli kuwa mpinzani inahitaji moyo ,Dada wa watu anazidi tu kuwa mweusi ,
Nyie mlitaka akae kama nani maan mtafikiri mnajua katiba ya chadema kuliko waliokuwepo chademakwani kakaa high table kama nani leo?
Hivi aliugua nini?NDUGAI MWANZONI MWA MWAKA HUU ALIKUWA ANAUMWA. mi naenda zangu.
Spika wa Bunge pitia message utaona sababuY alikamatwa?nani aliagizwa akamatwe?this is serious
Kabisa umenenakiongozi yeyote anayependa haki na kuheshimu haki za binadamu atasita kupeleka mswada bungeni wakulifumua jeshi la polis na kulisuka upya ili liendane na mfumo wa sasa wa kisiasa nchini. mbunge ni mwakilishi wa watu lazima aheshimiwe....
Ye alikuwepo chadema na anaijua katiba?Nyie mlitaka akae kama nani maan mtafikiri mnajua katiba ya chadema kuliko waliokuwepo chadema
Hapana arudi nyumbani kwa baba yakeUlitaka anywe maji ya Raymond???
Anaijua ndio maana yupo chadema si wewe fisi majiYe alikuwepo chadema na anaijua katiba?
Ufisi wangu uko wapi ? Swali la kitoto unalijibu kitotoWacha ufisi wewe
Utakujatukana baba zako, huna adabu.Wacha ufisi wewe