Ni hivi issue ya kukamatwa Ester Bulaya, mwaka jana kuna wafuasi wa Ester Bulaya walifikishwa kituo cyha polisi Bunda Mheshimiwa akafuatilia wafuasi wake kukawa na majibizano kati ya polisi na Mh Bulaya , Polisi kama kwaida yao wakadai kafanya fujo kituoni wakataka kumweka ndani lakini wakasema kampeni zikiisha ajipeleke mwenyewe Mh Bulaya hajaenda hadi leo SEVEN WASSIRA akaenda kukumbishia hiyo kesi Polisi ndipo wakamwambia hawajuo mtuhumiwa alipo wakamwuliza spika ndipo spika huyo akakurupuka kumwita mh Bulaya akapamane na kesi yake , sababu ni hiyo