Estar Bulaya aachiwa huru

Estar Bulaya aachiwa huru

MATUMIZI MABAYA YA STATE
RESOURCES.



Unamkamata Bulaya Mwanza
unatumia mafuta ya serikali
na polisi pia nauli ya ndege
kumpeleka dar halafu
unamfikisha anaachiwa!!!!
Ndugai, polisi na ccm ni
majipu.
#Eti wanabana matumizi.
 
WAPI HAKI ZA BINADMU, WAPI WANAHARAKATI, WAPI TAMWA, WAPI TAULA, WAPI LHRC, WAPI KIBAMBA, WAPI, NYA, WAPI BISIMBA, WAPI VIONGOZI WA DINI?? DEMOKRASIA IKO WAPI? MBONA HATUONI MATAMKO WALA MAANDAMANO? AU KWA VILE NI AWAMU YA WA DINI YETU? YULE TULIKUWA TUNAMFANYIA MAANDAMANO NA KUMSUMBUA KWA VILE HAKUWA WA DINI YETU?


angekuwa rais ni muislamu ungesikia matamko ya mababa paroko hadi muda huu wapo kimya

hasa suala la zanzibar angeshinda mkristo halafu muislam hatak kuachia ungesikia matamko ya wanafiki mala ooo gaidi umeya jiji la dar maparoko kimyaaaaaa kwakuwa nchi ipo chini ya mkristo mana ni wazee wa matamko
aliyekuwa akihamasisha makanisan asichaguliwe rais kutoka cuf leo ni wazir wa magu unategemea kuna haki apo?
 
Hii ni dalili tosha ya ushindi kwa upinzani.Walifikiri wakimkamata Chadema wataahirisha mkutano wao na kufanya maandamano lakini wakakuta upinzani wamajua kusoma mchezo.Hongera sana Ester na endelea na mapambano kwani wanazidi kukujengea umaarufu na Mungu atakupigania dhidi ya dhuluma za watawala.
 
Kwa kweli gharama ya kufifisha demokrasia ni kubwa kuliko kutumbua majipu.
Serikali hii isifikiri itapata uungwaji mkono mkubwa kwa kutumbua majipu huku ikibinya uhuru wa watu!
Uhuru lazima ubinywe maana Watu wengi walikuwa huru Na hawakuutendea haki.Sasa wote LAZIMA tunyooke tu hamna njia.
Hapa ni kazi tu
 
Mjanja kanaswa acha akome hana Jipya hata huko Bunda taabu
 
Mm daima husema ccm alikufa nayo mwenye nayo waliopo hawajui miiko yake. Hvo lazma tu wavuruge.
Hii ni sawa na wewe umetafuta Mali kwa nguvu zako na bila kujua ukafa bila kutoa miiko ya namna ya kuangalia Mali hiyo ni lazima tu watoto na ndg wavurugane na mwisho wake Mali huisha bila kujua.. Koz kila mtu anakuwa na mamlaka nayo Mali.
 
WAPI HAKI ZA BINADMU, WAPI WANAHARAKATI, WAPI TAMWA, WAPI TAULA, WAPI LHRC, WAPI KIBAMBA, WAPI, NYA, WAPI BISIMBA, WAPI VIONGOZI WA DINI?? DEMOKRASIA IKO WAPI? MBONA HATUONI MATAMKO WALA MAANDAMANO? AU KWA VILE NI AWAMU YA WA DINI YETU? YULE TULIKUWA TUNAMFANYIA MAANDAMANO NA KUMSUMBUA KWA VILE HAKUWA WA DINI YETU?
Hueleweki unatetea ccm? Au haki? Au dini
 
ingekuwa rais ni muislamu ungesikia matamko ya mababa paroko hadi muda huu wapo kimya

hasa suala la zanzibar angeshinda mkristo halafu muislam hatak kuachia ungesikia matamko ya wanafiki mala ooo gaidi umeya jiji la dar maparoko kimyaaaaaa kwakuwa nchi ipo chini ya mkristo mana ni wazee wa matamko
aliyekuwa akihamasisha asichaguliwe rais kutoka cuf leo ni wazir wa magu unategemea kuna haki apo?
Wacha UDINI weye
 
MATUMIZI MABAYA YA STATE
RESOURCES.



Unamkamata Bulaya Mwanza
unatumia mafuta ya serikali
na polisi pia nauli ya ndege
kumpeleka dar halafu
unamfikisha anaachiwa!!!!
Ndugai, polisi na ccm ni
majipu.
#Eti wanabana matumizi.
Tunaposema serekali hii niyamaigizo na mazingaombwe tunaimanisha
 
WAPI HAKI ZA BINADMU, WAPI WANAHARAKATI, WAPI TAMWA, WAPI TAULA, WAPI LHRC, WAPI KIBAMBA, WAPI, NYA, WAPI BISIMBA, WAPI VIONGOZI WA DINI?? DEMOKRASIA IKO WAPI? MBONA HATUONI MATAMKO WALA MAANDAMANO? AU KWA VILE NI AWAMU YA WA DINI YETU? YULE TULIKUWA TUNAMFANYIA MAANDAMANO NA KUMSUMBUA KWA VILE HAKUWA WA DINI YETU?
Wakifanya makosa na wakamatwe tu....hivi kwanini hawakumpga hata makofi aiseee ningefurahiiii maana nisivyowapenda chadema.
 
Back
Top Bottom