Ndio maana mnasigina katiba?Wakifanya makosa na wakamatwe tu....hivi kwanini hawakumpga hata makofi aiseee ningefurahiiii maana nisivyowapenda chadema.
MKUU HAWATAKAA WAKUPE JIBU MAANA HAWANA HAWA WAZEE WAKUSIGINA KATIBAhamjibu hili swali wote mnalalamika tu..
kosa la Esther ni nini?
Hapo ndo huwa nawatamani kweli police aisee ....ningekuwa police hao ndo Wa kutafutia kick ni makofi tu.Ndio maana mnasigina katiba?
duh. mkuu umenena muhimu sana. binafsi. nimekuwa nawazia hii tumbua tumbua ya magu haina dalili njema kwake hata kidogo. MUDA UNAJONGEA TUWE WENYE SUBIRAMimi naona dalili mbaya kwa Magu maana anaamini sana katika nguvu ya vyombo vya dola na mbaya zaidi anatengeneza mazingira ya kila mwenye nyundo kugonga kila msumari utakaojitokeza mbele yake bila kujua kwa lengo lipi?
Kufanya fujo na kujeruhi.....hamjibu hili swali wote mnalalamika tu..
kosa la Esther ni nini?
Siyo kosa lao wanatumika tuuHapo ndo huwa nawatamani kweli police aisee ....ningekuwa police hao ndo Wa kutafutia kick ni makofi tu.
no...pale alipofikishwa ofisi za bunge lazima awe aliambiwa...lazima pia yeye anajua ana mvutano gani na ofisi ya spika....tuache kulalamika tu...tujue alikamatwa kwa kosa gani?MKUU HAWATAKAA WAKUPE JIBU MAANA HAWANA HAWA WAZEE WAKUSIGINA KATIBA
Hapa ni hakuna kulala mpaka kieleweke
Nina mashaka na uthabiti wa iman yako.upandee huu unakatwazwa udini
udini utakwisha pindi tukapokwenda sawa na hiwezekan nna iman na dini yangu islam naipenda sna.
Leo piga simu polisi kunatatizo mpaka upate msada ni shuguli lakini wakisikia chadema duukwani kafanya nini huyu binti na muheshimiwa mzuri kabisa wa akili na sura.
matumiizi ya nguvu sana ni product ya kushindwa sana kiakili.
mfano: kumtumia binti kama mdee kikosi utadhani wanaenda kukamata komando aliyeasi ni missuse ya kodi zetu
ccm bila polisi ni dhaifu kuliko chochote .Mh Estar bulaya mbunge wa bunda akiwa kwenye office ndogo za bunge jiji daresalam baada yakuachiwa huru na mda huu anaelekea airport kwa ajiri ya safari yakwenda mwanza kwenye kikao cha kamati kuu..
ungekuwa mungu walau ungekuwa na hakiNina mashaka na uthabiti wa iman yako.
Maigizo na mazingaombwe Tv na MagazetiHuyu Magu anaonekana ni mtu wa visasi ndio maana anatumia nguvu ya dola.
NAKUBALIANA NA WEWE MKUU HATA DALILI ZINAONYESHAccm bila polisi ni dhaifu kuliko chochote .