Escrow: Stanbic Bank kuchafua hali ya hewa

Escrow: Stanbic Bank kuchafua hali ya hewa

Porojo hizo.

Hakuna bank duniani inayoweza kufanya hivyo kwa kuwa tu wakubwa zake wameamua.

Labda ungesema wavujishe au wapewe maagizo ya kmahakama kufanya hivyo.

Sheria na kanuni za bank si kama za Ufipa. Kumbuka hilo.
 
puuuuuumba hizo.hebu jaribu kukaa mahali peke yako then tafakari ulichoandika hapa kwa muda na utulivu utapata majibu kuwa hazikutoshi.usiwe na papara kunijibu we jitulize tu.

nguruwe pita tu leo sina mkuki!!!
 
Porojo hizo.

Hakuna bank duniani inayoweza kufanya hivyo kwa kuwa tu wakubwa zake wameamua.

Labda ungesema wavujishe au wapewe maagizo ya kmahakama kufanya hivyo.

Sheria na kanuni za bank si kama za Ufipa. Kumbuka hilo.

Kwamba Sheria hizo pia zinaruhusu Mabenki KUTAKATISHA PESA!!??!! KOJOA UKALALE
 
Mbona list ipo? Pinda, Lukuvi, Chikawe, Nchemba, Wassira, Membe, Masaburi, January, Nahodha, Lusinde aka Mtalimbo ibin kibajaji, Mshana, Nchambi, Sitta, Makinda, Mwakyembe, Magufuli, Nape, Makonda...List ndefuu
 
Wahuni hao, wanasubiri wayataje majina tarehe 1 (siku ya 'wajinga') ili yakose nguvu ya kuaminika. Wayataje kabla ama baada ya tarehe hiyo 1 April.
 
Kwa mujibu wa Bloomberg Business kumbe mheshimiwa Ndugu Abdulrahman Kinana (Katibu Mkuu CCM) alikuwa mjumbe bodi ya Stanbic mpaka mwishoni mwa mwaka 2013?


Screen Shot 2015-03-10 at 11.07.48.png
 
Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.

Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mbona April Mosi haijafika? Au fools day imehamishiwa march?
 
Porojo hizo.

Hakuna bank duniani inayoweza kufanya hivyo kwa kuwa tu wakubwa zake wameamua.

Labda ungesema wavujishe au wapewe maagizo ya kmahakama kufanya hivyo.

Sheria na kanuni za bank si kama za Ufipa. Kumbuka hilo.
Inaelekea hujaelewa VUTA-NKUVUTE alichosema, kwa kifupi ni kwamba Stanibic watafanya kama walivyofanya Mkombozi Bank kwakutoa list ya miamala. Cha ajabu kiko wapi hapa au kwani kuna mtu alikwenda mahakamani kudai miamala ya Mkombozi?
 
Wasije tu wakaficha majina haya itakuwa aibu kwa benki hii milele!

Mkuu hii benki ina dinda kutokana na ubwege wetu watanzania ipo nafasi ya kuishinikiza kwa kususia huduma zao na wenye a/a kuamisha pesa zao hayo yakifanyika hayo majina wataya-yaachia
 
Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.

Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

April 1 is FOOLS DAY

I don't believe this news
 
Nina hofu na trh ya mwisho yaani 1_4 kila mwaka ni ckk ya....... fanyen baadae ama kabla ya hiyo trh maana naogopa ujumbe wa ukweli kuchukuliwa powa
VUTA-NKUVUTE anaweka mazingira ya kuja na uzi wenye majina ya watuhumiwa atakayoyabuni yeye! hahahah!!
 
Siku Hayo majina yanawekwa hadharani naamini na bendera ya CCM itapepea nusu mlingoti.
 
Back
Top Bottom