Hata Benki hii isipowataja watatajana wenyewe. Ngeleja keshaanza ingawa kwa woga.
puuuuuumba hizo.hebu jaribu kukaa mahali peke yako then tafakari ulichoandika hapa kwa muda na utulivu utapata majibu kuwa hazikutoshi.usiwe na papara kunijibu we jitulize tu.
Porojo hizo.
Hakuna bank duniani inayoweza kufanya hivyo kwa kuwa tu wakubwa zake wameamua.
Labda ungesema wavujishe au wapewe maagizo ya kmahakama kufanya hivyo.
Sheria na kanuni za bank si kama za Ufipa. Kumbuka hilo.
Yaani imekuwa ndefu ulipokaribia kutaja 'manyangumi' wa nchi kavu...!? acha uoga.......List ndefuu
Naomba wasintaje
Mimi nilipewa za mboga tu. Bado nasubiri za ugali:A S embarassed:Nilichukua zote mimi na hawatanitaja
Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.
Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Stanbic ndio huko kina Mbowe inasemekana walichukulia mgao wao!?
Inaelekea hujaelewa VUTA-NKUVUTE alichosema, kwa kifupi ni kwamba Stanibic watafanya kama walivyofanya Mkombozi Bank kwakutoa list ya miamala. Cha ajabu kiko wapi hapa au kwani kuna mtu alikwenda mahakamani kudai miamala ya Mkombozi?Porojo hizo.
Hakuna bank duniani inayoweza kufanya hivyo kwa kuwa tu wakubwa zake wameamua.
Labda ungesema wavujishe au wapewe maagizo ya kmahakama kufanya hivyo.
Sheria na kanuni za bank si kama za Ufipa. Kumbuka hilo.
Wasije tu wakaficha majina haya itakuwa aibu kwa benki hii milele!
Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.
Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
VUTA-NKUVUTE anaweka mazingira ya kuja na uzi wenye majina ya watuhumiwa atakayoyabuni yeye! hahahah!!Nina hofu na trh ya mwisho yaani 1_4 kila mwaka ni ckk ya....... fanyen baadae ama kabla ya hiyo trh maana naogopa ujumbe wa ukweli kuchukuliwa powa