Mimi nilikuwa na akaunti yangu STANBIK ilibidi niifunge mara moja siwezi kufanya dhambi na wezi.Naomba na watanzania wenzangu tuige mfano huo.
Kabisa wabongo ni vizuri wakafunga akaunti zao maana benk inawaficha wezi!!!!
Mimi nilikuwa na akaunti yangu STANBIK ilibidi niifunge mara moja siwezi kufanya dhambi na wezi.Naomba na watanzania wenzangu tuige mfano huo.
Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.
Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Naomba wasintaje
Nauwakika Mpaka jina la fisi litakuwepoNimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.
Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Stanbic ndio huko kina Mbowe inasemekana walichukulia mgao wao!?
Hapo kuna list ya ikulu sio mchezo
Hadi wale wa mil.80 hela ya matibabu
Stanbic ndio huko kina Mbowe inasemekana walichukulia mgao wao!?
Watajwe tu,tumechoka sasa.Hakuna namna nyingine.
Mimi nilikuwa na akaunti yangu STANBIK ilibidi niifunge mara moja siwezi kufanya dhambi na wezi.Naomba na watanzania wenzangu tuige mfano huo.
Ni kweli tutawataja ila naanza na huyu ili mzoee zoee...
JAKAYA MRISHO KIKWETE.......AMOUNT......
Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.
Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam