Wanafikra huru wakiri ufisadi wa ESCROW kupitia Account ya Mkombozi Bank Ulitengenezwa

Ajol

Senior Member
Dec 22, 2015
140
75
Watanzania tumekuwa na desturi ya kutopenda kusoma na kufanya utafiti, hii imepelekea jamii yetu kupotoshwa sana na wanasiasa. Mfano, skendo ya Richmond tuliambiwa Mh. Edward Lowassa ni fisadi kwani alihusika katika kupata zabuni lakini wanasiasa hao hao leo wanatuambia katika kashfa hio Mh. Lowassa hakuhusika, watanzania tunayumbishwa kwa kuwa hatuna desturi ya kusoma na kufanya utafiti.

Leo hii watanzania tunajiuliza ni kwa nini Mh. Rais John Pombe Magufuli alimteua profesa Sospeter Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini? Kwa nini Bunge limemteua Mh. Andrew Chenge kuwa Mwenyekiti wa Bunge, kwa nini Mh. William Ngeleja amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Sheria?

Majibu yapo wazi kabisa Tanzania inajua na dunia nzima inajua, ufisadi wa account ya Escrow ilifanyika kupitia account ya Stanbic bank, mafisadi hawa walichota fedha kama njugu. Lakini hadi Leo hatuwajui ni kina nani? Kwa nini akina Kafulila hawajawataja mafisadi hawa! This is were Escrow stand, Stanbic bank is Escrow saga and Escrow Saga is Stanbic Bank.

Kwa mantiki hio kilicho tokea kupitia Mkombozi Bank ni danganya Toto, kama jukwaa la wasomi/FIKRA huru tunapenda kuwaomba watanzania, tuwaombe radhi Mkombozi Bank na watu wote walio pewa mgao kwani walitolewa kafara bila kujijua.Na watanzania tulivyo wavivu wa kufikiri, tulishindwa kudadavua mbivu na mbichi.

Total ya hela iliyopitia Mkombozi Bank haifiki hata Bilioni 10, tunataka kujua/kuwajuwa walio chota pesa kupitia Stanbic Bank ambayo ni more than 300 billion. Where is our money?

Watanzania kwa pamoja tuombe list ya bank ya stanbic, tunamuomba Mh. Rais atumbue jipu hili.

Escrow kwa upande wa mkombozi bank ni sawa na Richmond yani kashfa ya kutengenezwa ili kuwakomoa watu but the real saga IPO stanbic.

Nategemea kusoma mjadala wa hoja/facts na sio ushabiki.

Tukumbuke wanasiasa walio adhibiwa kupitia kashfa ya escrow account Mh. Rais na Bunge limethibitisha watu hawa ni wasafi na hata Mh. William Ngeleja, Mh. Andrew Chenge na Mh. Anna Tibaijuka walipohojiwa ilidhibitika hawakufanya kosa kwa kuwa walilipa kodi.


Naomba kuwasilisha..........
 
Watanzania tumekuwa na desturi ya kutopenda kusoma na kufanya utafiti, hii imepelekea jamii yetu kupotoshwa sana na wanasiasa. Mfano, skendo ya Richmond tuliambiwa Mh. Edward Lowassa ni fisadi kwani alihusika katika kupata zabuni lakini wanasiasa hao hao leo wanatuambia katika kashfa hio Mh. Lowassa hakuhusika, watanzania tunayumbishwa kwa kuwa hatuna desturi ya kusoma na kufanya utafiti.

Leo hii watanzania tunajiuliza ni kwa nini Mh. Rais John Pombe Magufuli alimteua profesa Sospeter Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini? Kwa nini Bunge limemteua Mh. Andrew Chenge kuwa Mwenyekiti wa Bunge, kwa nini Mh. William Ngeleja amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Sheria?

Majibu yapo wazi kabisa Tanzania inajua na dunia nzima inajua, ufisadi wa account ya Escrow ilifanyika kupitia account ya Stanbic bank, mafisadi hawa walichota fedha kama njugu. Lakini hadi Leo hatuwajui ni kina nani? Kwa nini akina Kafulila hawajawataja mafisadi hawa! This is were Escrow stand, Stanbic bank is Escrow saga and Escrow Saga is Stanbic Bank.

Kwa mantiki hio kilicho tokea kupitia Mkombozi Bank ni danganya Toto, kama jukwaa la wasomi/FIKRA huru tunapenda kuwaomba watanzania, tuwaombe radhi Mkombozi Bank na watu wote walio pewa mgao kwani walitolewa kafara bila kujijua.Na watanzania tulivyo wavivu wa kufikiri, tulishindwa kudadavua mbivu na mbichi.

Total ya hela iliyopitia Mkombozi Bank haifiki hata Bilioni 10, tunataka kujua/kuwajuwa walio chota pesa kupitia Stanbic Bank ambayo ni more than 300 billion. Where is our money?

Watanzania kwa pamoja tuombe list ya bank ya stanbic, tunamuomba Mh. Rais atumbue jipu hili.

Escrow kwa upande wa mkombozi bank ni sawa na Richmond yani kashfa ya kutengenezwa ili kuwakomoa watu but the real saga IPO stanbic.

Nategemea kusoma mjadala wa hoja/facts na sio ushabiki.

HATA UKIMPENDA NAMNA GANI HATAKUWA RAIS NA KUMBUKUMBU ZINABAKI KWENYE HANSARD YA BUNGE KWAMBA ALIJIUZULU KWA KUIBEBA RICHMOND SIYO KUJIPATIA ZABUNI WEWE DOGO MAANA HATA KUMBUKUMBU HUNA SIJUI UNA UMRI GANI??/

Tukumbuke wanasiasa walio adhibiwa kupitia kashfa ya escrow account Mh. Rais na Bunge limethibitisha watu hawa ni wasafi na hata Mh. William Ngeleja, Mh. Andrew Chenge na Mh. Anna Tibaijuka walipohojiwa ilidhibitika hawakufanya kosa kwa kuwa walilipa kodi.


Naomba kuwasilisha..........
 
Watanzania tumekuwa na desturi ya kutopenda kusoma na kufanya utafiti, hii imepelekea jamii yetu kupotoshwa sana na wanasiasa. Mfano, skendo ya Richmond tuliambiwa Mh. Edward Lowassa ni fisadi kwani alihusika katika kupata zabuni lakini wanasiasa hao hao leo wanatuambia katika kashfa hio Mh. Lowassa hakuhusika, watanzania tunayumbishwa kwa kuwa hatuna desturi ya kusoma na kufanya utafiti.

Leo hii watanzania tunajiuliza ni kwa nini Mh. Rais John Pombe Magufuli alimteua profesa Sospeter Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini? Kwa nini Bunge limemteua Mh. Andrew Chenge kuwa Mwenyekiti wa Bunge, kwa nini Mh. William Ngeleja amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Sheria?

Majibu yapo wazi kabisa Tanzania inajua na dunia nzima inajua, ufisadi wa account ya Escrow ilifanyika kupitia account ya Stanbic bank, mafisadi hawa walichota fedha kama njugu. Lakini hadi Leo hatuwajui ni kina nani? Kwa nini akina Kafulila hawajawataja mafisadi hawa! This is were Escrow stand, Stanbic bank is Escrow saga and Escrow Saga is Stanbic Bank.

Kwa mantiki hio kilicho tokea kupitia Mkombozi Bank ni danganya Toto, kama jukwaa la wasomi/FIKRA huru tunapenda kuwaomba watanzania, tuwaombe radhi Mkombozi Bank na watu wote walio pewa mgao kwani walitolewa kafara bila kujijua.Na watanzania tulivyo wavivu wa kufikiri, tulishindwa kudadavua mbivu na mbichi.

Total ya hela iliyopitia Mkombozi Bank haifiki hata Bilioni 10, tunataka kujua/kuwajuwa walio chota pesa kupitia Stanbic Bank ambayo ni more than 300 billion. Where is our money?

Watanzania kwa pamoja tuombe list ya bank ya stanbic, tunamuomba Mh. Rais atumbue jipu hili.

Escrow kwa upande wa mkombozi bank ni sawa na Richmond yani kashfa ya kutengenezwa ili kuwakomoa watu but the real saga IPO stanbic.

Nategemea kusoma mjadala wa hoja/facts na sio ushabiki.

Tukumbuke wanasiasa walio adhibiwa kupitia kashfa ya escrow account Mh. Rais na Bunge limethibitisha watu hawa ni wasafi na hata Mh. William Ngeleja, Mh. Andrew Chenge na Mh. Anna Tibaijuka walipohojiwa ilidhibitika hawakufanya kosa kwa kuwa walilipa kodi.


Naomba kuwasilisha..........


HATA UKIMPENDA NAMNA GANI HATAPEWA URAIS WA NCHI HII. KUMBUKUMBU ZINABAKI PALEPALE KWAMBA ALIPOTEZA WADHIFA KWA KUIBEBA KAMPUNI YA RICHMOND NA SIYO KUJIPATIA ZABUNI WEWE BINTI MAANA INAONEKANA ULIKUWA NA UMRI MDOGO WAKATI ULE!!
 
HATA UKIMPENDA NAMNA GANI HATAPEWA URAIS WA NCHI HII. KUMBUKUMBU ZINABAKI PALEPALE KWAMBA ALIPOTEZA WADHIFA KWA KUIBEBA KAMPUNI YA RICHMOND NA SIYO KUJIPATIA ZABUNI WEWE BINTI MAANA INAONEKANA ULIKUWA NA UMRI MDOGO WAKATI ULE!!
Huna hoja...
 
escrow ni ya mzee wa msoga na marafiki zake wa karibu period
 
H
HATA UKIMPENDA NAMNA GANI HATAPEWA URAIS WA NCHI HII. KUMBUKUMBU ZINABAKI PALEPALE KWAMBA ALIPOTEZA WADHIFA KWA KUIBEBA KAMPUNI YA RICHMOND NA SIYO KUJIPATIA ZABUNI WEWE BINTI MAANA INAONEKANA ULIKUWA NA UMRI MDOGO WAKATI ULE!!
Hoja niliyo ielewa hapo ni kuwa, ufisadi was escrow account bado mbichi sana cause mgao wa stanbic bank bado haijatumbuliwa.
 
UNAPOTEZA MUDA NENDA KAJITAFUTIE RIZIKI YA LEO KULIKO KUMTANGAZA TULIYEMKATAA NA ALIYEKATALIWA NA CCM!
Kuwa mwelewa, the issue here is escrow na sio richmond. Tukubaliane kina Ngeleja, Chenge, Tibaijuka etc. Ni Innocents
 
Tuhuma za kitoto zisitunyime viongozi bora, mfano Ngeleja bado kijana.

Anayonafasi ya kulitumikia Taifa hill huko baadae.
 
HATA UKIMPENDA NAMNA GANI HATAPEWA URAIS WA NCHI HII. KUMBUKUMBU ZINABAKI PALEPALE KWAMBA ALIPOTEZA WADHIFA KWA KUIBEBA KAMPUNI YA RICHMOND NA SIYO KUJIPATIA ZABUNI WEWE BINTI MAANA INAONEKANA ULIKUWA NA UMRI MDOGO WAKATI ULE!!
Aisee kama sio umevuta mibange una ugonjwa ambao tiba yake hapa Nchini utaipata ktk 'kitengo maalamu' pale Muhimbili au Mirembe tu! Umesoma vzr kilichoandikwa au unakurupuka tu kama UHARO?
 
Katika Sakata ambalo sijalielewa ni hili la escrow, akaunti ya escrow ilifungiliwa baada ya TANESCO kudai katika pesa inayolipa iptl kuna kiasi wanalipa zaidi na inavyo stahili, sasa kwenye madai ya TANESCO walisema ni asilimia ngapi ya malipo wanayolipa ni ziada ambayo hawapaswi kulipa? Sasa hicho kilichozidi ndiyo Mali ya watanzania, tatizo wanasiasa wanatuambia pesa iliyiibiwa ni billioni 360 kwa maana hiyo TANESCO walikuwa wanadai 100%?, Mimi nikiliangalia Sana hii skendo imetengenezwa ikiwa na sura tatu za kisiasa (1) pesa ziliibiwa na wakubwa wa nchi kwa ajili ya kujipanga kwa uchaguzi, (2) ilikuwa mbinu ya kisiasa ili kumpaisha Zitto ili ionekane kuwa ni mtu muhimu kwenye Chama hivyo viongozi wa Chama wabadili msimamo wao wa juu ya kumfukuza uanachama (maana alikuwa mwanachama kwa amri ya mahakama) ili watakapo mrudisha akivuruge Chama kipindi cha uchaguzi, lakini ccm walikwisha jipanga kama viongozi watang'ang'nia kumfukuza tayari Zitto atakuwa kesha jenga jina kupitia kashfa ya escrow, kwa hiyo akihama Chama na kwenda ACT basi kuna viongozi na wanachama wa Chadema watamfuata na kukigawa Chama na wapiga kura watagawanyika kwa hiyo itakuwa raisi kwa ccm kushinda ila kwa bahati mbaya ccm wakati wanapanga hivi hawakujua wala kutarajia Lowassa kama anaweza kuhamia upinzani wakajikuta mambo yamekuwa ndivyo sivyo
 
Katika Sakata ambalo sijalielewa ni hili la escrow, akaunti ya escrow ilifungiliwa baada ya TANESCO kudai katika pesa inayolipa iptl kuna kiasi wanalipa zaidi na inavyo stahili, sasa kwenye madai ya TANESCO walisema ni asilimia ngapi ya malipo wanayolipa ni ziada ambayo hawapaswi kulipa? Sasa hicho kilichozidi ndiyo Mali ya watanzania, tatizo wanasiasa wanatuambia pesa iliyiibiwa ni billioni 360 kwa maana hiyo TANESCO walikuwa wanadai 100%?, Mimi nikiliangalia Sana hii skendo imetengenezwa ikiwa na sura tatu za kisiasa (1) pesa ziliibiwa na wakubwa wa nchi kwa ajili ya kujipanga kwa uchaguzi, (2) ilikuwa mbinu ya kisiasa ili kumpaisha Zitto ili ionekane kuwa ni mtu muhimu kwenye Chama hivyo viongozi wa Chama wabadili msimamo wao wa juu ya kumfukuza uanachama (maana alikuwa mwanachama kwa amri ya mahakama) ili watakapo mrudisha akivuruge Chama kipindi cha uchaguzi, lakini ccm walikwisha jipanga kama viongozi watang'ang'nia kumfukuza tayari Zitto atakuwa kesha jenga jina kupitia kashfa ya escrow, kwa hiyo akihama Chama na kwenda ACT basi kuna viongozi na wanachama wa Chadema watamfuata na kukigawa Chama na wapiga kura watagawanyika kwa hiyo itakuwa raisi kwa ccm kushinda ila kwa bahati mbaya ccm wakati wanapanga hivi hawakujua wala kutarajia Lowassa kama anaweza kuhamia upinzani wakajikuta mambo yamekuwa ndivyo sivyo

Mkuu..
Angalizo; Jifunze kupresent hoja/Uandishi wako..
 
Umesema kweli mkuu, lakini kuna gazeti liliwataja kama kumbukumbu zangu ziko sahihi.
 
Back
Top Bottom