Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,780
Agenda kuu ktk uchaguzi 2015 nikuwa RAISI JK kutoka CCM kaiba pesa za wananchi, hili lazima liingie vizuri kwenye vichwa vya wananchi na lazima lihubiriwe kila kona na kila pembe ya nchi
mkuu, haitoshi tu kusema kuwa JK kaiba bali unapaswa kutuambia kaiba nini na kiasi gani. Tunaposema Dr Slaa kapora mke wa mtu then tuna ushahidi kuwa kachukua Josephine, mke wa Mahimbo