Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Cheki huyu naye asijielewe kwenye hii dunia utendaji wa jk na muhongo unawauma kweli.Yeye amehusishwa kwenye waliokwapua mabilioni stanbic kwa mifuko ya salfet(rejea bwana NGURUMO)
Cheki huyu naye asijielewe kwenye hii dunia utendaji wa jk na muhongo unawauma kweli.Yeye amehusishwa kwenye waliokwapua mabilioni stanbic kwa mifuko ya salfet(rejea bwana NGURUMO)
Unaweza kunieleza kuwa werema aliiba kiasi gani kwenye hiyo ac?
Prof Anna alipewa hela kama zawadi na yeye hakuwa na maamuzi yoyote hama Wizara Fedha, BoT wala Tanesco. Kwa nini yeye tu ndo ashikiwe bango. Kama ni kiasi cha pesa alichopewa mbona Chenge haguswi. Kama Prof Tibaiijuka anasakamwa kwa kuwa ni Mwanamke na ni Mhaya na kwa sababu ya kupewa hela na Mhaya (kaka yake kama alivyosema yeye) basi hapa Wahaya wote tunasakamwa.
Hivi ni shilingi ngapi zilizokuwepo kwenye account ya Tegeta ESCROW na ngapi zilichotwa? Nimesoma ripoti ya CAG inasema bilion 203 ndio zilikuweno na hizo ndizo zilichotwa. Magazeti mengine yanasema bilioni 306, mengine bilioni zaidi ya 300, Kubenea naye anasema bilioni 321, nani mkweli?
Uongo mtupu.
Mtamtafuta sana mwana wa mwenzenu hamumpati ng'oo. Mahasidi wakubwa.
Mmemtafuta miaka 9 hamjampata mtampata leo imebaki miezi 9? Mnanchekesha.
​simba trust
Nenda pale STANBIC utapata jibu,si mmekalia report ya waliochota kule,subiri iletwe hapa JF utapata kizunguzungu
Kwani kwenye ripoti ya CAG na TAKUKURU kuna mahala amehusishwa Rais KIKWETE?
Kasamehewa na nani???? huyu kaombwa kuepusha balaa,mwizi anasamehewa toka lini ONLY IN TZ!!!!
Kama ni kweli ndivyo kinachoendelea... Anna Tibaijuka is a SCAPEGOAT... na Anajulikana fika alikuwa hana Makundi ndani ya CCM hence ni rahisi kumsengenya na kumuangusha...
Sababu, ni kwanini CHENGE hawamjadili huko CC aondoke kwenye CCM ? kwanini Anna Makinda bado anamtumia CHENGE kwenye maamuzi mengi tu BUNGENI ni kwasababu alisoma HARVARD ??? Anna Tibaijuka is Bright as well!!!
Nchini Kenya Wanasifia Uamuzi wa Rais Kikwete sababu -- Rais katoka kabila dogo na kamfukuza kazi mtu wa kabila kubwa na hakuna mtafakuru wa kikabila nchini...
Is there ENOUGH is ENOUGH ??? Yeye Hakuiba hizo PESA... Wezi wapo na Wengine around Rais wetu na hakuna wa kuwashitaki... Is there a REAL JUSTICE in OUR BELOVED NATION ??
Na akiondoka aiache list ya wauza unga ofisini ama sivyo atakamatwa kabla hajavuka Makumbusho on the way to Msoga.
Siku Kikwete akimaliza muda wake pale magogoni cha moto atakiona, hawa watu hawatakubali kupelekeshwa puta ilihali mwizi mkuu wanamjua