Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Mwalimu Nyerere alijiweka mbali na Wahaya na Wachaga. Alijua ni watu wachafuUbaguzi wako utakuua kwani Wahaya si Watanzania? Utake usitake wao ni Watanzania na wana kila haki ya kufanya kazi popote vile kama walivyo watu wa makabila mengine. Ushindwe katika uovu wako na tena ulegee!