samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,478
- 24,262
Jini Kisiranii
Mengine unaweza ukawa sahihi ila hapo kwenye 4mil na 200k umetudanganya brother..
Leave allowance + house sio favor hapana hilo kwenye mkataba wako ajira na lazima pia liwe kwenye policy ya kampuni, mwajiri anapoacha kukulipa hivyo vitu kwanza anakuwa amevunja mkataba wako na yeye na pili anakuwa amekiuka sheria za nchi.
Mengine unaweza ukawa sahihi ila hapo kwenye 4mil na 200k umetudanganya brother..
Leave allowance + house sio favor hapana hilo kwenye mkataba wako ajira na lazima pia liwe kwenye policy ya kampuni, mwajiri anapoacha kukulipa hivyo vitu kwanza anakuwa amevunja mkataba wako na yeye na pili anakuwa amekiuka sheria za nchi.