Jini Kisiranii
Ni mfanyakazi wa kwanza duniani asiyefahamu nini maana ya paid leave allowance let alone house allowance!
Back in the days shafanya sana as Online Freelancer! Mara nyingi kila nilipopata mkataba unaozidi mwaka mmoja; one of the benefits ilikuwa ni paid leave. Hiyo ni freelancing; virtual working, maarufu kama online jobs; Employer/Client humjui, hakujui... no physical interaction; seuze desk job!!
Kwanza unaonekana muongo! Huwezi kuwa unalipwa paid leave Sh. 4M halafu stahiki yako ya house allowance iwe Sh. 200K.
Laki 2 ni gharama ya chumba kimoja (self) tu Uswahilini wakati kwa serikalini anayefikia kulipwa 4M ni boss kwelikweli ambae there's no way anaweza kulipwa house allowance ya kumwezesha kuishi Uswahilini, tena kwenye chumba kimoja!!
Peleka uongo wako Lumumba mtu usiyefahamu hata uwiano kati ya paid leave allowance na house allowance!!