Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,773
- 2,383
Wanunuzi wa bidhaa pale GAME Mlimani Sity jihadharini na bidhaa hizo.Kuna tetesi kuwa bidhaa nyingi hapo dukani ni mbovu na zina matatizo.Mimi mwenyewe nienunua karibu bidhaa tatu ambazo ziliharibika kipindi kifupi tu baada ya matumizi.These items are used and repacked!!!