chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Wanadamu tusipozibiti haya mambo matatu basi lazima utakuja kushangaa,kujilaumu na mengineyo.
Mambo matatu yenyewe:
( 1) Unapokuwa na furaha usitoe "ahadi"
ijalishi furahaa hupo sehemu gani kwenye mapenzi, urabuni, sherehe, starehe, mafanikio n.k. Hapa watu wengi hutoa ahadi wasizotegemea kwa sababu wapo tu kwenye furaha.
(2) Unapo kuwa na hasira usitoe "jibu"
hasira ni kitu cha ajabu sana na kumfanya mwanadamu yoyote kutoa majibu ya haraka kama vitendo au maneno.
Kama utaona umeweza kulizuia basi epuka.
(3) Unapokuwa na uhuzuni usitoe " mmaamuzi
Huzuni ni mshauri kumbwa wa maamuzi kwa asilimia kubwa kuangukia kwenye maamuzi mabaya. Watu wengi waliokuwa na huzuni ujikuta kwenye maamuzi mabaya sana.
Mambo matatu haya ndiyo yatatufungia mwaka 2021
Mambo matatu yenyewe:
( 1) Unapokuwa na furaha usitoe "ahadi"
ijalishi furahaa hupo sehemu gani kwenye mapenzi, urabuni, sherehe, starehe, mafanikio n.k. Hapa watu wengi hutoa ahadi wasizotegemea kwa sababu wapo tu kwenye furaha.
(2) Unapo kuwa na hasira usitoe "jibu"
hasira ni kitu cha ajabu sana na kumfanya mwanadamu yoyote kutoa majibu ya haraka kama vitendo au maneno.
Kama utaona umeweza kulizuia basi epuka.
(3) Unapokuwa na uhuzuni usitoe " mmaamuzi
Huzuni ni mshauri kumbwa wa maamuzi kwa asilimia kubwa kuangukia kwenye maamuzi mabaya. Watu wengi waliokuwa na huzuni ujikuta kwenye maamuzi mabaya sana.
Mambo matatu haya ndiyo yatatufungia mwaka 2021