Ephraim Kibonde Jahazi Show

Ephraim Kibonde ndiyo nani?

Amandla.........
,
Ni mmoja wa watangazaji wa TV/Radio ambao ni maceleb wetu hapa bongo, he is good kwa kuigiza sauti mbalimbali ikiwepo ya Baba wa Taifa.

Kwenye Jahazi is doing good ingawa sometimes ana-over do jokes kwenye serious news zihusuzo loss of life.

Angalizo, ni celeb kwa viwango vyetu vya bongo, naombeni tusilinganishe na maceleb wa huko..
 
Ephraim Kibonde anapalilia network yake tu, hana lolote analojua zaidi ya ulimbwende usiohitaji uchambuzi katika dimba la michezo na inappropriate jokes.

Don't make me murder machete his information lacking behind with archives of data going back to 1965 !
 
Ephraim Kibonde anapalilia network yake tu, hana lolote analojua zaidi ya ulimbwende usiohitaji uchambuzi katika dimba la michezo na inappropriate jokes.

Don't make me murder machete his information lacking behind with archives of data going back to 1965 !


umetupoteza kabisa hapa Mkuu!
 
mumesahau kitu kimoja ana mpango wa kugombea ubunge jimbo moja la mkoani Mbeya mwaka 2010

Siku hizi ubunge ndio deal, kila Juma na Roza anataka kugombea ubunge.

Mediocre mmoja kutoka Clouds kuwa mbunge kumetosha, hatutaki mwingine.

Mpaka hapo ashajionyesha kwamba ni mtu wa kujikomba na hana hoja.
 
Aisoma report ya Mnyika Radioni lakini kwa ufupi huku akiwataka wasikilizaji waende kwenye website ya Chadema kwa taarifa zaida.

Amezidi kumpinga Manyika kuwa hakuwa sahihi kumkosoa Membe.

Jamaa yuko biased ile mbaya, amfananisha Mnyika na Lipuli na Membe na Man United.

afadhali hakusema sisimizi, katafuta msamiati wake
 
mumesahau kitu kimoja ana mpango wa kugombea ubunge jimbo moja la mkoani Mbeya mwaka 2010


Sasa wewe SHY ndiye umetuamsha vyema sana .Ndhani hawa jamaa wanadhani ndiyo njia pekee . Media zimeanza mambo ya ajabu ajabu these days . Lakini yote yalitabiriwa
 
umetupoteza kabisa hapa Mkuu!

Mi kwamba, asitake kutufanya sisi watoto wadogo tuliozaliwa juzi kwa kumtetea Membe na fake patriotism, wakati tunajua kwamba hamna patriotism katika cronyism na non-critical analysis.

Asitake twende kwenye makabrasha yanayorudi nyuma kuonyesha Tanzania ilivyojihusisha na vita vya wenyewe kwa wenyewe Eastern Congo kuanzia 1965 mpaka ikatolewa nishai na mkataba wa Accra, mbona vitu vipo well documented?

Leo Membe anajitia serikali ya Tanzania haiwezi kufanya hivi wakati precedents zipo? Zimeelezwa katika mikutano ya kimataifa?
 
Mi kwamba, asitake kutufanya sisi watoto wadogo tuliozaliwa juzi kwa kumtetea Membe na fake patriotism, wakati tunajua kwamba hamna patriotism katika cronyism na non-critical analysis.

Asitake twende kwenye makabrasha yanayorudi nyuma kuonyesha Tanzania ilivyojihusisha na vita vya wenyewe kwa wenyewe Eastern Congo kuanzia 1965 mpaka ikatolewa nishai na mkataba wa Accra, mbona vitu vipo well documented?

Leo Membe anajitia serikali ya Tanzania haiwezi kufanya hivi wakati precedents zipo? Zimeelezwa katika mikutano ya kimataifa?

Maneno mazito sana haya mzee, nauhakika atayapata bila shaka.

Unajua huyu jamaa jana, alikurupuka na kuanza kusoma paragraph ya kwanza na inaonekana alikuwa haijui hii issue kabisa, yani jamaa alikuwa mtupu kabisa.

Sasa yeye baada ya kuona kwenye column ya newspaper wameunganisha na meremete na deep green ndipo alipoanza kumponda Mnyika na kumtetea Membe...na alikuwa hana data zozote wala alikuwa haongei vitu vya maana, ovyo ovyo..anadai Mnyika atafuta umaarufu kwa kuwa uchaguzi wa 2010 umekaribia sasa anataka vijana wa ubungo wamsikie...anadai mambo ya Meremeta na Deep Green ni mambo yanayo husiana na ufisadi inakuwaje Mnyika anayachanganya na Report ya UN.....yaani jamaa ovyo ovyo..

Magazeti ya Jioni bongo yanatoka saa 5 au 6 ilitakiwa ayasome hayo magazeti na afanye uchunguzi wa kina na kukusanya dataz za kutosha na siyo kukurupuka...

Baada ya watu kumkoma nyani Kibonde utosini leo asubuhi ameingia kwenye website ya CHADEMA na kusoma report ya Mnyika....lakini ya UN hajasoma..na leo kaja tena anamdhihaki Mnyika huku akimtetea Membe bila hata kujua issue nzima iko vipi soo far......bongo bana.
 
Moja ya nguzo zilizoijenga JF ni kuheshimu uhuru wa wengine kutoa mawazo,hata kama wengi hatuafikiani nayo.Kibonde ametumia ipasavyo haki yake ya kikatiba na kidemokrasia kutoa utetezi kwa Membe,regardless ya kilichomo kwenye utetezi huo.

Pili,just like Uhuru na Mzalendo zinavyoitetea CCM ambayo ni mmiliki wao,au IPP Media zinavyomfagilia Chairman Mengi,na au Habari Corporation wanavyomsujudia Rostam,same as kila chombo cha habari cha News Corp kinavyomheshimu Rupert Mordoch,Clouds nao wana uhuru wa kuwafagilia "wafadhili" wao.

Principles za uandishi wa habari ni vigumu sana kutekelezeka in real life pale wafadhili wa vyombo hivyo wanapokuwa sehemu ya habari.Ndio maana kwa hapa UK kuna wanaoliona gazeti la The Guardian kuwa lina fursa nzuri ya kufanya uandishi wa habari usiosukumwa na "kuwapepea wafadhili" kwa vile "it's owned by no one"

It's even worse katika mazingira ya Kibongo ambapo to succeed you need to win hearts and minds za mafisadi.And cheapest and easiest way ni kufanya wanafanyavyo akina Peter Serukamba.Not that I agree with them lakini hate them or love them wauza utu wao kwa ajili ya kupata maslahi yao ni miongoni mwa watu waliofanikiwa katika malengo yao huko Bongo,iwe kisiasa,kiuchumi au hata kijamii.

Going beyond alichokiongea Ephraim Kibonde,pengine ni muhimu kutambua aina ya wanahabari tulionao kwenye vyombo vya habari binafsi kama Clouds FM.Vipaji pekee walivyonavyo wengi wao ni sauti za kuiga,kubabaikiwa na wanajamii na vitu vingine visivyo na msingi kama hivyo.Ukitegemea mijadala iliyokwenda shule sehemu kama Clouds FM you could as well expect Osama kuwa the next US President.Tusishangae moshi kutoka kwenye exhaust ya gari mkweche.

Nafasi ya professionalism kwenye pandemic ya ubabaishaji ni pipedream.
 
Moja ya nguzo zilizoijenga JF ni kuheshimu uhuru wa wengine kutoa mawazo,hata kama wengi hatuafikiani nayo.Kibonde ametumia ipasavyo haki yake ya kikatiba na kidemokrasia kutoa utetezi kwa Membe,regardless ya kilichomo kwenye utetezi huo.

Pili,just like Uhuru na Mzalendo zinavyoitetea CCM ambayo ni mmiliki wao,au IPP Media zinavyomfagilia Chairman Mengi,na au Habari Corporation wanavyomsujudia Rostam,same as kila chombo cha habari cha News Corp kinavyomheshimu Rupert Mordoch,Clouds nao wana uhuru wa kuwafagilia "wafadhili" wao.

Principles za uandishi wa habari ni vigumu sana kutekelezeka in real life pale wafadhili wa vyombo hivyo wanapokuwa sehemu ya habari.Ndio maana kwa hapa UK kuna wanaoliona gazeti la The Guardian kuwa lina fursa nzuri ya kufanya uandishi wa habari usiosukumwa na "kuwapepea wafadhili" kwa vile "it's owned by no one"

It's even worse katika mazingira ya Kibongo ambapo to succeed you need to win hearts and minds za mafisadi.And cheapest and easiest way ni kufanya wanafanyavyo akina Peter Serukamba.Not that I agree with them lakini hate them or love them wauza utu wao kwa ajili ya kupata maslahi yao ni miongoni mwa watu waliofanikiwa katika malengo yao huko Bongo,iwe kisiasa,kiuchumi au hata kijamii.

Going beyond alichokiongea Ephraim Kibonde,pengine ni muhimu kutambua aina ya wanahabari tulionao kwenye vyombo vya habari binafsi kama Clouds FM.Vipaji pekee walivyonavyo wengi wao ni sauti za kuiga,kubabaikiwa na wanajamii na vitu vingine visivyo na msingi kama hivyo.Ukitegemea mijadala iliyokwenda shule sehemu kama Clouds FM you could as well expect Osama kuwa the next US President.Tusishangae moshi kutoka kwenye exhaust ya gari mkweche.

Nafasi ya professionalism kwenye pandemic ya ubabaishaji ni pipedream.

Napata tabu kuamini yeye kuwa biased na kutoa kauli za kuponda na zilizo biased ni msimamo wa Joe na Ruge, na kataa huyu jamaa ni mropokaji mzuri sana hata kwenye mambo ya michezo na burudani...ukirudi bongo jaribu kumfuatilia akiwa studio...ni pumba hayuko deep kwenye kitu chochote.
 
Kuna mwenye biography ya huyu Kibonde?

Ephraim Samson Kibonde

  • Gender: Male
  • Occupation: Broadcasting Journalist
  • Location: Dar es Salaam : Tanzania : Tanzania
Interests

  • Sports
  • Politics
  • Reading
Favorite Movies

  • God Father
Favorite Music

  • Jazz
  • Reggea
  • Slow Jam
  • Hip hop
  • African and caribean
Favorite Books

  • Inspirational
  • and Political
Habari kwa ufupi ndiyo hii, ngoja niingie machimboni kutafuta data zaidi za hii ki-BONDE
 
Jamani huu ushabiki usio na faida kwa Taifa linalo didimia hautakiwi kuachwa hivi kama wana JF tunatakiwa tuukemee na kuugopa kama ukoma!

Naomba kujua CV ya Gadner na Kibonde ili tujue tuanzie wapi katika kupangua matumizi yao mabaya katika Radio kupotosha!

Leteni CV zao humu! Halaaa this can not be tolerated haswa ukiangalia ni uhusiano gani Clouds FM inao na Vijana !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom