Enzi zetu zile sio kama leo

UDA ya ukweli hii........1980

UDA.jpg
 
[h=5]‎" Kajituliza Kwake Kasuku Ohooo, Hataki Matata, Hataki Matata!
Anachopata Kinamtosha, Aaaa, Hataki Maneno, Hataki Maneno!" Ni Neno Fupi Hili La Asubuhi Hii!
[/h]
gari la kazi
 
Safi sana....hakuna foleni wala nini...na hapo ni posta ya zamani....hilo IKARUS limenikumbusha mengi...niligongwa nalo 1975 wakati nalishangaa

hahaha nimecheka sana Mtu Mzima, sasa we we kipindi hicho ulikuwa unaingia mjini nini so ukawa unashangaa mjigari huooo....

Dah, mlioishi dar kipindi hicho, mlifaidi sana nawaonea wivu sana!
 
Waoooo!!! You have taken so far for uploading this, tulikuwa tukienda kwa mwenyekiti wa kijiji kusikiliza mpira na taarifa ya habari kupitia RTD...
Thanks for making my day!

Sisi tulikuwa tunacheza disco nyumbani kwetu na hiki kiredio. Nakumbuka tulikuwa tunatumia betri ya gari siku moja tuliunguza redio. Ilikuwa issue kwani redio yenyewe iliazimwa kwa tajiri mmoja ambaye alikuwa anaishi Nairobi hahahaha
 

Vijana wakiwa tayari kuingia "The Cave Disco" enzi hizo

Ndani ya RUSH between two A's enzi hizo mambo yote yalikuwa mpwito

Je una picha ya Enzi zile au kumbukumbu yoyote ya zamani, weka kwenye thread hii.... KARIBUNI

Asante mkuu!
 
Ni kweli hao ni madada wa Zanaki wa Kisutu wao walikuwa wanavaa tunaita sketi za rangi ya zambarau. Mdau umepatia Zanaki walikuwa na Tambaza, Jangwani na Azania. Ujiko ilikuwa kumpata mtoto wa Forodhani(wao ndio walikuwa watoto wa kishua aka ndizi nyama)

Muungano wa Azania na Jangwani, wenyewe tulikuwa tukiita: AZAJANGWA.
 
‎" Kajituliza Kwake Kasuku Ohooo, Hataki Matata, Hataki Matata!
Anachopata Kinamtosha, Aaaa, Hataki Maneno, Hataki Maneno!" Ni Neno Fupi Hili La Asubuhi Hii!



gari la kazi
Kwa mliokuwepo, kipindi hiki msafara ulikuwa na gari ngapi na pikipiki ngapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom