Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
halafu wewe lini utanilipa jero langu?
nikopeshe buku nikulipe jero.
halafu wewe lini utanilipa jero langu?
Kumbe ndo maana thread nyingi za kitoto 2004, 2005, 2007 form IV? Wakati watu tuna miaka 10+ kazini? Welcome to the World watoto
1976 Tanmo bana ...
Tena kama unanigombesha napunguza miwili, nakubakishia 28...Umeanza lini kunikosea adabu wewe msichana???? Nakkuuliza tu yaani mimi nina mika 30???
Kitu cha 1-14 pale brookebond secondary mwaka 2005,wanafki mtaani walijua ntafeli
Mi O-level Ziro, A-level ziro
nikopeshe buku nikulipe jero.
inawezekana ulipomaliza la saba tu (ly) ukaanza kazi ya ulinzi.......... Kwa hiyo wakati wenzio wana miaka minne ya o-level, wewe una minne ya kazini, miwili ya a-level (jumla sita) wewe una sita ya kk security guard, na mwenzio anamaliza versity kozi ya miaka minne (jumla 10) wewe una mwaka wa kumi ya kazi uako ya ulinzi na elimu yako ya ly
Nilipiga III.18 Longido Sec. '08
rejao amekumiss sana....Tena kama unanigombesha napunguza miwili, nakubakishia 28...
Mie pia nimemmiss sana, ila nahisi hanipendi kama zamani manake ameondoka hajaniaga, nikimpigia simu anapokea sekretari wake eti nimwachie maagizo ya Rejao!....rejao amekumiss sana....
Mimi ndo natarajia kumaliza this year ndio mana sijajitaja, ntakachopata lazima nije kuutangazia umma wa wana jf, hata kama ni ubuyu!Kila m2 one na wenye ubuyu mbona hawajitaji?
Hahaha! Kweli we mkare wetu!2003 nilipiga IV ya 34,sikukata tamaa nikarudia Form3,2005 nikamaliza tena alhamdulilah nikagonga IV ya 32 ambayo imeniwezesha kuajiriwa na halmashauri as MGAMBO WA JIJI