enzi izo...

UncleJoe

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
624
508
zamani8.jpg
 
mkuu hapo unatudanganya sasa enzi hizo Tiles?Luku?mhh ila safi ilikua hakuna ukimwi,mambo unapata natural hakuna mkorogo,form 4 unapangiwa ajira moja kwa moja
 
Kuna studio moja "Meku studio" ndo tulikuwa tunakwenda kupiga picha,
unakuta maua yapo na radio cassette kabla hujapiga unauliza radio band ngapi hii akikwambia tatu unamwambia weka ile ya band 12 la sivyo sipigi picha...

Those where the days!
 
Kuna Jamaa Juzi alikuwa anacheza mziki pale wallet pub, nashindwa kutofautisha na hizi style, na alikuwa ndio kivutio pub nzima.
 
Back
Top Bottom