kwenye alubamu za enzi izooo
dah! mdogo wangu Watu 8 mbona umenitoa kwenye iyo picha ya pili?
sijui umeipata wapi mweeeh!
Mkuu watu8 kwahiyo uli'copy' na ku'paste'?Nimeipata humu humu mitandaoni dada yangu...ila kumbe uzi kama huu uliwekwa jana na Joe Nyandigira
https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/471273-enzi-izo.html
Mkuu watu8 kwahiyo uli'copy' na ku'paste'?
Duh!sister ulikuwa unavutia sana sexually,vipi siku hizi bado unamvuto?
hii ni mwisho wa nyote
Teh teh teh!kwa hiyo bado unadai,hongera kwa hilo!uzuri ni wakuzaliwa nao.
Mkuu iache tu,tuendelee kuselebuka nayo!Sikuwa nimepita hapa JF Mafoto kwa muda...sasa nilianza na kuweka uzi halafu baadae katika kupitia threads za hapa ndio nikaiona hiyo ya Joe...hata hivyo nimetuma PM kwa Invisible, aipige chini hii thread!!!
Teh teh teh!kwa hiyo bado unadai,hongera kwa hilo!
Sasa huyu mtumishi wa Mungu wa kulia hiyo flaizi da! Kweli kuna mishono ya nguo duniani
Daah! Safi sana...
Hilo ndo lilikuwa lenyewe enzi hizo kitu CAMEL au OLYMPUS la kiANALOGIA tu...hiyo kamera mi hoi....