Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
Hivi huyo anayecheza juu kulia na kuchungulia chupi ya huyo mama siyo waziri mkuu Pinda kweli?
duh vijana wanaokula ugali wa dona utawajua tu sio chips mayai cheki huyo aliyekumbatia
Sasa huyo anayekumbatia mbona anafanana na TID, au kwa kuwa TID anakula chips mayai?
Kuna Jamaa Juzi alikuwa anacheza mziki pale wallet pub, nashindwa kutofautisha na hizi style, na alikuwa ndio kivutio pub nzima.
Du aise nakupa credit zote, umenikumbusha mbali sana enzi za moniyafinda, engunduka ,masua ,mbale vitu vya kamale aise we noma.