enzi izo...

enzi izo...

Kuna studio moja "Meku studio" ndo tulikuwa tunakwenda kupiga picha,
unakuta maua yapo na radio cassette kabla hujapiga unauliza radio band ngapi hii akikwambia tatu unamwambia weka ile ya band 12 la sivyo sipigi picha...

Those where the days!

Mmmh, makubwa haya!!
 
zamani5.jpg

Unapakumbuka hapa mkuu platozoom???? Hapo ni kwa Khan bana.................
 
Last edited by a moderator:
Enzi za NUTA Jazz Band - Pongezi Wakulima.

 
Last edited by a moderator:
Ni vitu adimu sasa, ila hakika vimetulia kwa kweli.

Big up wa enzi hizo, siku hizi kata K kibao utadhani............, hadi inaboa kumalizia kusema
 
Enzi za NUTA Jazz Band - Pongezi Wakulima.



Kitu kinavuta hisia balaa, unaweza kweli kurudiana na uliyetalikiana naye maana hisia hizo dah, hadi raha, big up wa enzi hizo.
 
Last edited by a moderator:
Kitu kinavuta hisia balaa, unaweza kweli kurudiana na uliyetalikiana naye maana hisia hizo dah, hadi raha, big up wa enzi hizo.

Enzi za Tina.
Tina Tina, Tina turudiane ....
 
Last edited by a moderator:
dah! mdogo wangu Watu 8 mbona umenitoa kwenye iyo picha ya pili?
sijui umeipata wapi mweeeh!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom