Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,083
- 6,234
Kuna studio moja "Meku studio" ndo tulikuwa tunakwenda kupiga picha,
unakuta maua yapo na radio cassette kabla hujapiga unauliza radio band ngapi hii akikwambia tatu unamwambia weka ile ya band 12 la sivyo sipigi picha...
Those where the days!
Mmmh, makubwa haya!!