yeah ni yeye mkuu, huyu jamaa alifariki akiwa bado mbichi kabisa na kifo chake kilitokea ghafla mno baada ya kuugua kwa muda mfupi sanasiyo method mogela huyo?
Umechemsha ile mbayahapo kwenye blue!Zamoyoni mogela akimtambulisha method mogela,huku hamis gaga husen masha wakiangalia.
Wakina nani hao?
Umechemsha ile mbayahapo kwenye blue!
Zamoyoni mogela akimtambulisha method mogela,huku hamis gaga husen masha wakiangalia.
Huyo mmoja ambaye sura yake imetokeza begani kwa Zamoyoni Mogella na Khalfan Ngasa a.k.a Babu. Baba wa Mrisho Ngasa. mwingine ndio simkumbuki.Zamoyoni mogela akimtambulisha method mogela,huku hamis gaga husen masha wakiangalia.
yeah ni yeye mkuu, huyu jamaa alifariki akiwa bado mbichi kabisa na kifo chake kilitokea ghafla mno baada ya kuugua kwa muda mfupi sana
Huyo mmoja ambaye sura yake imetokeza begani kwa Zamoyoni Mogella na Khalfan Ngasa a.k.a Babu. Baba wa Mrisho Ngasa. mwingine ndio simkumbuki.
Wakina nani hao?