Enzi hizo

Enzi hizo

Kama hawataelewana watafundishwa tuu. Chezea pesa weye.

Ila kama ni wasichana, wakikua hawatachuna sana.
ha haaaa, ni kweli siku hizi tumechanganyika sana.....
naonaga mdogo wangu ambaye yupo busy sana kuisaka hela, yaani kila wakati anaangalia opportunity za kutafuta hela tuuuuuuuu..... na huyo kasomea moshi, sasa naanza kuona relationship.....
Itabidi sasa na hawa wajukuu niwapeleke kusoma Moshi
 
rafiki FP kuna mtu hapa mwaka jana alianzisha uzi wa jinsi anavyokereka anapoenda kujirusha club kwa raha zake na wanaishia kupiga nyimbo za Bongo Flava. Watu wengi wanaona hivyo kwamba baadhi zinafaa kusikiliza tu hazikupi mashamsham ya kupanda kwenye dancing floor na kuanza kufanya vitu vyako. Ila huyu Diamond kama atatulia basi future yake iko very bright. Huu wimbo wake unaweza kupigwa mahali popote duniani na watu wakaufurahia kupanda kwenye DF na kuanza kufanya vitu vyao.



Angalia kama wale akina P Square na J Martins walivyojipatia umaarufu mkubwa duniani kwa nyimbo zao moto moto, labda na baadhi ya Bongo Flava miaka micchache ijayo wanaweza kupaa katika Ulimwengu wa muziki na kuwakaribia hawa au hata kuwapita ni kujituma tu na kuwa na discipline ya hali ya juu.







 
Last edited by a moderator:
rafiki FP kuna mtu hapa mwaka jana alianzisha uzi wa jinsi anavyokereka anapoenda kujirusha club kwa raha zake na wanaishia kupiga nyimbo za Bongo Flava. Watu wengi wanaona hivyo kwamba baadhi zinafaa kusikiliza tu hazikupi mashamsham ya kupanda kwenye dancing floor na kuanza kufanya vitu vyako. Ila huyu Diamond kama atatulia basi future yake iko very bright. Huu wimbo wake unaweza kupigwa mahali popote duniani na watu wakaufurahia kupanda kwenye DF na kuanza kufanya vitu vyao.



ha ha haaaaa.... huu wimbo umenikumbusha kitu rafiki, lol!
kweli Diamond ni mzuri sana kwenye hii fani ila sasa wadada wanampeleka puta saaaana, sijui ataishia wapi?
nashukuru tu hajatokea kule kwetu maana lingekuwa dongo la kufa mtu.
achana na wanigeria rafiki, hao ni wengine kabisaaaa, ukiingia club na zinapigwa nyimbo zao huwezi kukaa chini
 
Last edited by a moderator:
Ungerekebisha title ya thread basi kama focus yako ni bongo fleva rafiki..........umetuchanganya maoldskul hapa!
pole sana rafiki....
sikutaka kichwa cha habari kireeefuuuu, lakini mwanzo tu mwa post niliandika bongo flava rafiki
 
Siwezi kuchangia, muziki gani unachuja wiki moja baada ya ku-realise! Hebu angalia miziki kama ya New Edition, Cool and the gang, The Winners, Jackson 5, steve B, john Gill, Gerald levert na wengine nyimbo hadi leo hazijachuuja ndo wanza zina-hit kwenye clubs na Lounge mbalimbali!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom