umeona eeeh!Ukilinganisha na miziki ta sasa hivi hadi unakosa hamu ya kuwasikiliza Mastar wasasa maana theme ni mapenziii tuuuu
Du!Hii ilinipita, ila hiyo ya Msela ilitamba sana kitaa. Kila mtu alikuwa anadai ni msela.
huyu jamaa nilikuwa namkubali sana.... RIPProbably ni kutokuwa creative au ku=commercialise Bongo Fleva.
Kama hii siyo ya zamani, lakini mtu huchoki kuisikiliza
[video=youtube_share;1o-bqzV-RTA]http://youtu.be/1o-bqzV-RTA[/video]
Du!
wewe nawe unaingia kwenye kundi la kuniamkia, hata hii!!!!
namvutia kasi NN naye aingie kwenye kundi hili
ha haaa, Marahabaaaaa, hujambo?Shikamoo.
Kuna nyingine hapa: https://www.jamiiforums.com/enterta...go-flava-zilizotamba-enzi-za-2000-2008-a.html
ha haaa, Marahabaaaaa, hujambo?
nitaupitia huo uzi nikaburudike kwa raha zangu....
thanx
nikumbushe kesho nikuletee peremende, pesa sitoagi kwa watoto, lol!Sijambo, naomba pesa nikanunue peremende.
nikumbushe kesho nikuletee peremende, pesa sitoagi kwa watoto, lol!
ha haaaa, nimekumbuka wanangu wakipewa hela na mtu hawapokei, wanasema mama anasema watoto hawapewi hela
mmmmhhh! wangoni deal za pesa zinapanda kweli!Mh! Ngoja watakapo kwenda sekondari na kukutana na wale wa kutoka Moshi ambao muda wote class wanaongelea dili za pesa tuu.
mmmmhhh! wangoni deal za pesa zinapanda kweli!
sijawahi sikia kabisaaaaa
wangoni tupo kila sehemu aiseee....Wangoni wanakaa Moshi siku hizi?
ha haaa, nilirudi kusoma na kujaribu kulielewa hili swali lako, kumbe ulimaanisha hao watu wa kutoka moshi kuwa ni wangoni!Wangoni wanakaa Moshi siku hizi?
wangoni tupo kila sehemu aiseee....
siku Ngwea alipoRIP katika kugoogle nikakuta wanasema ni msanii aliyetokea Dodoma, nikajua yawezekana ni mgogo au kabila jingine la huko.... then nikasikia atazikwa morogoro ambapo babake kazikwa, na mamake anaishi huko...... nikajua kuzikwa ni popote....
leo namsoma Millard Ayo anasema Ngwea ni Mngoni toka Songea......:smash::disapointed:
sasa huoni wangoni tunaweza kuwa anyone? lol!
ha haaa, kwa hyo lile swala la kuzikwa huko ingekuwa poa tu, si yupo home? tena originale......Yea, atakuwa alifariki akiwa kwa ancestors wake huko South.
ha haaa, ila uzoba nao ni kipaji, lol!FP, na hii je?
ha haaa, nilirudi kusoma na kujaribu kulielewa hili swali lako, kumbe ulimaanisha hao watu wa kutoka moshi kuwa ni wangoni!
mimi nilipokujibu nilimaanisha kuwa hata hao wachaga wakiongelea deal za pesa, wanangu sababu ni wangoni hizo stori hazitapanda, kwa hiyo hawataelewa hilo somo.....
ha haaa, kwa hyo lile swala la kuzikwa huko ingekuwa poa tu, si yupo home? tena originale......
nimekuelewa.....Nope. Nilimaanisha kuwa wanao wakianza kwende sekondari watakutana na wale watoto wa kiboriloni ambao class huwa wanaongelea dili za pesa tuu.