Enzi hizo!

Abbasfarudume

JF-Expert Member
Feb 14, 2017
1,625
1,324
9d38a22bc4bb602c03b7795a934d85f7.jpg
 
Daa! aisee hii kitu siwezi isahau mzee alikuwa anamaind sana maana hata kula nilikuwa sikumbuki nikiwekwa kiungo mmaliziaji pale na mashoto yangu nilikuwa najiona kama messi vile
 
Duh kitambo sana. Enzi izo tulikua tunaenda kucheza mpira shule ya Azimio iko mwanza. Kulikua na uwanja tunauita mabatini ilikua noma sana
 
wakati huo watu wana jiita ken mkapa, salum kabunda ninja, fikiri magoso, mau mkami. hussen masha mustafa hoza twaha hamidu noriega. muhamedi kachumbali.dua saidi magere masatu.fumo felisian
 
Enzi ilikuwa nikipiga kipute cha kufa mtu! Winga teleza, nikitupwa 7 twende nikitupwa 11 twende, napanda na kushuka na guu langu la dhahabu {mashoto} Kwenye penalti kipa lazima nimpeleke sokoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom