Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
Ni Hamisi akiwa na Marehemu Amina, miaka inakimbia sana.
Hamis ni naibu waziri Amina alikua mbunge RIPNdiyo nani hao Hamis na Amina?
Ka nani hako, Hamis au AminaHapo ndio kameanza kuwa kaajiriwa ka idara ya usalama wa taifa.
Apo amina chifupa bado kigori aisee huyu dada alikuwa mzuri sana alitingisha sana miaka ya 2003 to 2007 pale makongo apumzike kwa amaniNi Hamisi akiwa na Marehemu Amina, miaka inakimbia sana.View attachment 2753765
Heh kumbeHapo ndio kameanza kuwa kaajiriwa ka idara ya usalama wa taifa.
Khamis mwinjuma aka mwana fa ni mfanyakazi wa tiss kitambo sana.Ka nani hako, Hamis au Amina
Inafikirisha knamna flani, hata hawa mawaziri wa sasa majanki. Kuna kodez kama wote wanafanana.Khamis mwinjuma aka mwana fa ni mfanyakazi wa tiss kitambo sana.
Hatunywi sumu , hatujinyongi CCM mbele kwa mbele .Inafikirisha knamna flani, hata hawa mawaziri wa sasa majanki. Kuna kodez kama wote wanafanana.
Ila ya huyu mwana hiphop duuuh, sjawahi ifikiria kabisaaa. Sasa hapa kazi inakua ni gani?? Kuwachimba wenzie au inakuaje? Sifa zingne si wanasema lazima uwe vzuri kichwani, ni kweli haya wanajamvi?
Duh! Vipi kuhusu mpoto na msechu?Khamis mwinjuma aka mwana fa ni mfanyakazi wa tiss kitambo sana.
Kama wana TISS ndiyo hawa basi sina la kusema. Ndiyo maana nchi unakwenda kombo kila kukicha.Khamis mwinjuma aka mwana fa ni mfanyakazi wa tiss kitambo sana.
Hao sina uhakika ila nadhani hao ni machawa zaidi wakati mwana fa ni mwajiriwa na yuko kwenye payroll ya eagle.Duh! Vipi kuhusu mpoto na msechu?
Lidumu....Hatunywi sumu , hatujinyongi CCM mbele kwa mbele .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kazi kweli kweliHao sina uhakika ila nadhani hao ni machawa zaidi wakati mwana fa ni mwajiriwa na yuko kwenye payroll ya eagle.
Fa amshukuru yule Mzee Othuman.Sema Mzee nayeye alipendelea sana nyumbani Tanga.Hao sina uhakika ila nadhani hao ni machawa zaidi wakati mwana fa ni mwajiriwa na yuko kwenye payroll ya eagle.
Ni kweli enzi za RO watanga wengi waliingizwa kwenye idara.Fa amshukuru yule Mzee Othuman.Sema Mzee nayeye alipendelea sana nyumbani Tanga.