bombah987
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 218
- 51
pole cna, zaidi zaidi angalia afya yako na mtoto aliye tumboni ucje ukasema unang'ang'ania mali baadae hali ikawa worse zaidi ukapotea wewe na kiumbe chako, kama sasa hivi una uwezo wa kula vizuri mpka utakapojifungua hebu fanya hivo hayo matatizo mje msolve ukiwa umeshajifungua, but now mhhhh ckushauri kupambana, kama mlichuma wote nazani una access ya kuchukua pesa pia kwa matumiz yako na mtoto bila kumwomba yy. pole cna