Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
HATUJAWAH KUWAJOPA KWANI WKT TUNAOANA MIMI NA YEYE TULIKUA WAAJIRIWA NA TULIPANGA JINS YA KUTUMIA HELA NA AKIBA TULIIDUDULIZA MPAKA TUKAWEZA KUFUNGUA BIASHARA NA KUJENGA, ninavyoelewa jambo jingine lililowaudhi mawifi ni WALIKUA WANANILAZIMISHA NIACHE KAZI NA NIMUACHE MUME WANGU MJINI NIKAKAKAE MACHAME NA MAMA MKWE jambo ambalo nililikataa pia
Usikubali hata siku moja kucha kazi kwa simple reasons kama hizo? Hebu jiulize, wewe umepanga na mungu? Ukiacha kazi na kwenda Machame na mumeo akafa itakuwaje? Huna ahadi na Mungu.
Unayajua yanaowapa wanawake wanaowaacha waume zao mjini na kwenda kusihi Moshi vijijijni? hao wifi zako wameaacha waume zao mjini na kwenda kijijini?
Sungura Mpole, fungua macho!