DissDotCom
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 395
- 271
- Thread starter
- #41
Ahaha haaa nilijua ni mimi tu
Kuna wakati tunatamani kuoa ila tunakosa kwa kweli
Kuna wakati tunatamani kuoa ila tunakosa kwa kweli
Una pesa kweli wewe....? Tongoza acha uoga, kikubwa jichanganye na watu hasa kanisani, msikitini kazini, rafiki za marafiki zako wa kike au rafiki kabisa hawa ndiyo wake wazuri kabisa.
Asante sana mkuu nitalifanyia kazi
Una mpenzi?Habari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Kikubwa sala ni mhimu zaidi, mwenzako ninao wawili natafuta namna ya kuamuacha mmoja sijajua..
Una mpenzi?
Kama unaye fanya upgrade from girlfriend to wife !
Duh umamiliki wawili aisee hizo sasa dhambi
Mfano me nna mademu kama 6 hiviHapana toka nimepata wazo lakuoa nakosa kabisa dem
HatariMfano me nna mademu kama 6 hivi
Mfano kesho ikitokea ulazima wa kuoa najua nimuoe nani kati yao
Siyo kuzunguka mtaani kutafuta wa kumuoa
Ila nakushauri usitafute tu video ya gwajima maana chungu cha leo hatutakihesabia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mbibi bana
Hivi kale kavideo ni yeye eti?Hapo ndio kwa Boss NGWAJIMA EHEEE
HapanaAhaha haaa nilijua ni mimi tu
Haya mambo si vita. Kila kitu kitakuja kwa wakati wakeTafuta taratibu ukimshirikisha Mungu ukikurupuka sabbu uharaka ya kuoa umri umeenda utaangukia pabaya...walioko ndan yenyew wanataka kutoka
[emoji3][emoji3]umekuja na huku kuhesabu rokooHaya mambo si vita. Kila kitu kitakuja kwa wakati wake