Enyi mliooa, mlipataje wake?

Enyi mliooa, mlipataje wake?

Ukitaka mke mzuri mwangalie tabia za Mama wa Mke unae muoa,

Before ya mke wangu, nilikuwa na Binti mmoja tukienda kula tunaagiza Sato wawili na tulipo bakisha haangaiki kuomba afungiwe na mbaya zaidi alikuwa anaagiza vitu vyenye bei harafu vinamshinda.

Oohoo Mungu wangu... Nakumbuka first time nipo out na huyu ambae ni Mke wangu.. Alisema tuagize Sato mmoja na chip's Mbili... Na tulibakisha kwa sababu stori zilichukua nafasi kubwa.. Aliomba afungiwe kisha akaniambia chukua ukifika Home utakula... Nilimuona huyu vipi aoni noma hii sehemu tulivu hivi harafu mambo ya kufunga funga.. Ilikuwa saa nne usiku.

Nilivyo fika home nikavuta bangi kisha ndio nikazama kwenye tathimini juu yake... Ganja inaisha kichwani saa nane usiku njaa ya hatari.... Nikakumbuka ooohoo I have something. Mke mwema utamjua kwa Matendo na tabia zake.
Dah aisee umenigusa sana na hii story yaani hapo ingekua mimi naoa wiki iliyofata
 
HAaaa haaa wewe sio mtu mzuri bro ni kiwango cha kimataifa
Mfano me nna mademu kama 6 hivi
Mfano kesho ikitokea ulazima wa kuoa najua nimuoe nani kati yao
Siyo kuzunguka mtaani kutafuta wa kumuoa
 
Habari wakuu.

Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Hahahaaaaaa.
Mke wa kuoa huwezi kumpata kwa stail hiyo Mkuu, unawinda kama mnyama.
Uko kwenye hatari kubwa ya kupata mtu asiye sahihi. Lakini hiyo ya kanisani ni njia nzuri, Unaweza kufahamiana na baadhi ya hao unaokutana nao kanisani unakuwa na mawasiliano yao, mwisho wa siku yuko utakae muelewa.
 
Habari wakuu.

Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Tumia watu watakusaidia....
1.viongozi wako wa dini
2. Wazazi au walezi
3dada na mashangazi
 
Wanawake ni hao hao unaokutana nao kanisani,barabarani,sokoni, chagua owa,
Umenikumbusha best yangu aliniuliza hivi yule J bado hajaolewa naona atanifaa maana ananijua si tulisoma woote.
Ahahaaa haha yaani amerudisha kumbukumbu nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom