HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,489
- 6,251
Kama kawaida. Mpe kijana mbinu za kuopoa kimwana wa kufunga nae ndoa[emoji3][emoji3]umekuja na huku kuhesabu rokoo
Kama kawaida. Mpe kijana mbinu za kuopoa kimwana wa kufunga nae ndoa[emoji3][emoji3]umekuja na huku kuhesabu rokoo
Dah aisee umenigusa sana na hii story yaani hapo ingekua mimi naoa wiki iliyofataUkitaka mke mzuri mwangalie tabia za Mama wa Mke unae muoa,
Before ya mke wangu, nilikuwa na Binti mmoja tukienda kula tunaagiza Sato wawili na tulipo bakisha haangaiki kuomba afungiwe na mbaya zaidi alikuwa anaagiza vitu vyenye bei harafu vinamshinda.
Oohoo Mungu wangu... Nakumbuka first time nipo out na huyu ambae ni Mke wangu.. Alisema tuagize Sato mmoja na chip's Mbili... Na tulibakisha kwa sababu stori zilichukua nafasi kubwa.. Aliomba afungiwe kisha akaniambia chukua ukifika Home utakula... Nilimuona huyu vipi aoni noma hii sehemu tulivu hivi harafu mambo ya kufunga funga.. Ilikuwa saa nne usiku.
Nilivyo fika home nikavuta bangi kisha ndio nikazama kwenye tathimini juu yake... Ganja inaisha kichwani saa nane usiku njaa ya hatari.... Nikakumbuka ooohoo I have something. Mke mwema utamjua kwa Matendo na tabia zake.
Mfano me nna mademu kama 6 hivi
Mfano kesho ikitokea ulazima wa kuoa najua nimuoe nani kati yao
Siyo kuzunguka mtaani kutafuta wa kumuoa
Hahahaaaaaa.Habari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
We umeshaopoa? Nataka nikupe wwKama kawaida. Mpe kijana mbinu za kuopoa kimwana wa kufunga nae ndoa
Lete manenoWe umeshaopoa? Nataka nikupe ww
Hapana mbibi, sina muda huo kwa sasaIla nakushauri usitafute tu video ya gwajima maana chungu cha leo hatutakihesabia[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah Mungu atusimamie sana kwakwelimkuu tuna tatzo linalofanan ila cha msingi tu n kumwomba Mungu tusijeangukia ya gwajima
Tumia watu watakusaidia....Habari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Asante sana mkuuTumia watu watakusaidia....
1.viongozi wako wa dini
2. Wazazi au walezi
3dada na mashangazi
Bado hajsja. Akija wa kwako hutawaza mara mbili!Hahah
Ahahaaa haha yaani amerudisha kumbukumbu nyumaWanawake ni hao hao unaokutana nao kanisani,barabarani,sokoni, chagua owa,
Umenikumbusha best yangu aliniuliza hivi yule J bado hajaolewa naona atanifaa maana ananijua si tulisoma woote.
Asante mkuu ngoja niendeleze ibadaOmba mungu utapata mkuuu